Elections 2010 Mgombea ubunge aliyekuwa Mwizi apeperusha bendera ya CCM...

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Jul 28, 2008
2,502
739
Jana wakati naangalia luninga, nilishtuka kuona kuna mgombea mmoja hivi wa Tabora mjini, jina lake ni Aden rage, huyu jamaa nikakumbuka alikuwa anajihusisha sana na masuala ya mpira sijui ni TFF au ni sima na yanga...ninachokumbuka ni kwamba, uyu jamaa aliwahi kushtakiwa kwa wizi wa pesa, akawekwa ndani, akatoka kwa msamaha wa rais kikwete.

cha ajabu, anapeperusha bendera ya ccm, na anaenda bungeni kujifanya anatetea maslahi ya watz. mara wengine wamwite msomali, mara wengine wamwite mwizi..hivi wana Tabora mmekosa kabisa watu wa kugombea jamani? na, huyo jamaa ana nguvu ya aina gani kuweza kuwapiga chini watu wote hao, kwanza ikikumbukwa alijisafishaje hadi akarudi TFF/kwenye mpira kipindi kile, uwezo huo aliutoa wapi?

nchi yetu ni ya kifisadi sana. kwenye mpira wamejaa mafisadi...Mwakalebela alikuwa anafisadi tu mpirani huko arobaini yake ikawa kwenye kura za maoni Iringa....hivi INGEKUWA NCHI ZA WENZETU HUYU JAMAA ANGEKUWA NA UJASIRI WA KUSIMAMA NA KUGOMBEA KITU KWELI? Kama aliiba laki nane za TFF huko, atashindwaje kuiba pesa za wananchi huko bungeni?..yaani huo mfuko wanaoiita wa majimbo...
 
Jana wakati naangalia luninga, nilishtuka kuona kuna mgombea mmoja hivi wa Tabora mjini, jina lake ni Aden rage, huyu jamaa nikakumbuka alikuwa anajihusisha sana na masuala ya mpira sijui ni TFF au ni sima na yanga...ninachokumbuka ni kwamba, uyu jamaa aliwahi kushtakiwa kwa wizi wa pesa, akawekwa ndani, akatoka kwa msamaha wa rais kikwete.

cha ajabu, anapeperusha bendera ya ccm, na anaenda bungeni kujifanya anatetea maslahi ya watz. mara wengine wamwite msomali, mara wengine wamwite mwizi..hivi wana Tabora mmekosa kabisa watu wa kugombea jamani? na, huyo jamaa ana nguvu ya aina gani kuweza kuwapiga chini watu wote hao, kwanza ikikumbukwa alijisafishaje hadi akarudi TFF/kwenye mpira kipindi kile, uwezo huo aliutoa wapi?

nchi yetu ni ya kifisadi sana. kwenye mpira wamejaa mafisadi...Mwakalebela alikuwa anafisadi tu mpirani huko arobaini yake ikawa kwenye kura za maoni Iringa....hivi INGEKUWA NCHI ZA WENZETU HUYU JAMAA ANGEKUWA NA UJASIRI WA KUSIMAMA NA KUGOMBEA KITU KWELI? Kama aliiba laki nane za TFF huko, atashindwaje kuiba pesa za wananchi huko bungeni?..yaani huo mfuko wanaoiita wa majimbo...

Ni kweli jamaa alifungwa jela akatoka kwa msamaha wa raisi,lakini kabla hajatoka alikata rufaa.Hukumu ya rufaa ilitoka wakati ameshatolewa jela kwa msamaha wa raisi lakini mahakama ya rufaa ilimsafisha kwamba hukumu iliyompeleka jela haikuwa halali.Kwamba hakutenda kosa.Hivyo kikatiba anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote ya uongozi.
 
Ni kweli jamaa alifungwa jela akatoka kwa msamaha wa raisi,lakini kabla hajatoka alikata rufaa.Hukumu ya rufaa ilitoka wakati ameshatolewa jela kwa msamaha wa raisi lakini mahakama ya rufaa ilimsafisha kwamba hukumu iliyompeleka jela haikuwa halali.Kwamba hakutenda kosa.Hivyo kikatiba anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote ya uongozi.

Ni mahakama zetu ndizo zilimsafisha? Sishangai kamwe kwani siku anahukumiwa kwenda jela alikuja kortini amevaa T. Shirt iliyoandikwa kifuani "CCM No. 1" Siku ya pili magazeti kadha yalionyesha picha hiyo. Huyo hakimu namsifu sana -- hakuyumbishwa na upuuzi huo mwa T- Shirt na akamsweka kule kunakostahili wezi.

Mahakam Kuu ndiyo ikaja kuyumbishwa na ile T-Shirt! Makada wa CCM huwa hawaendi jela kabisa nchini humu. Niambie nani kaenda?
 


Mahakam Kuu ndiyo ikaja kuyumbishwa na ile T-Shirt! Makada wa CCM huwa hawaendi jela kabisa nchini humu. Niambie nani kaenda?

Na hata wakienda ni danganya toto, huyo Rage wakati amewekwa pale Ukonga mie nilikuwa naishi maeneo yale, kila siku jioni tulikuwa tunamuona na askari magereza kwenye ile bar opposite na gereza wanapiga stori na kula chakula kizuri huku akiwa kwenye mavazi ya kiraia, na hapo alishahukumiwa.Wajinga ndio waliwao! Jamaa ana influence ya ajabu, Mwaka huu ni wake, ameshinda uwenyekiti wa Simba na Bungeni pia ataenda.
 
unashangaa nini bwana, hiyo ndio sisi em .Nasikia kuna hadi watuhumiwa wa wauza viungo wa ndugu zetu alb.........ila ipo siku ukweli utasimama.
 
Hii thread imekaa kimajungu mno! Mahakama imeshamuona hana hatia sasa wewe unabisha nini? Kama hujaridhika na hukumu kakate rufaa, si ajabu hata ABC za sheria hujui lakini unakuwa mjuaji wa kupinga hukumu za mahakama. Punguza chuki sio nzuri kwa afya yako!
 
Mnamshangaa Osama na mandevu jamani!?? Mnajua kuwa CCM ni chama cha majizi, na usipokuwa mwizi CCM haikufai na watakunanihiino....!!CCM Sucks! wa TZ tuamke jamaniii!!!!
 
hii ndo nchi yetu. sijui itabadilika lini. sitashangaa siku mtu akishika urais wakati ni raia wa nchi za nje...sijui tuseme nchi imeuzwa, au inauzwa au itauzwa,..kiswahili gani kizuru hapa wajameni.
 
Huu uchaguzi kama utasogezwa muda mbele hadi Jarnuary 2011 basi itakua hatari...maana nahisi watu kama wanaanza kuchanganyikiwa sasa..seriosly kabisa
Mola jaalia hiyo siku ifike ili vichwa vya hawa waja wako virudi hali
 
Jana wakati naangalia luninga, nilishtuka kuona kuna mgombea mmoja hivi wa Tabora mjini, jina lake ni Aden rage, huyu jamaa nikakumbuka alikuwa anajihusisha sana na masuala ya mpira sijui ni TFF au ni sima na yanga...ninachokumbuka ni kwamba, uyu jamaa aliwahi kushtakiwa kwa wizi wa pesa, akawekwa ndani, akatoka kwa msamaha wa rais kikwete.

cha ajabu, anapeperusha bendera ya ccm, na anaenda bungeni kujifanya anatetea maslahi ya watz. mara wengine wamwite msomali, mara wengine wamwite mwizi..hivi wana Tabora mmekosa kabisa watu wa kugombea jamani? na, huyo jamaa ana nguvu ya aina gani kuweza kuwapiga chini watu wote hao, kwanza ikikumbukwa alijisafishaje hadi akarudi TFF/kwenye mpira kipindi kile, uwezo huo aliutoa wapi?

nchi yetu ni ya kifisadi sana. kwenye mpira wamejaa mafisadi...Mwakalebela alikuwa anafisadi tu mpirani huko arobaini yake ikawa kwenye kura za maoni Iringa....hivi INGEKUWA NCHI ZA WENZETU HUYU JAMAA ANGEKUWA NA UJASIRI WA KUSIMAMA NA KUGOMBEA KITU KWELI? Kama aliiba laki nane za TFF huko, atashindwaje kuiba pesa za wananchi huko bungeni?..yaani huo mfuko wanaoiita wa majimbo...
Dear Ubungoubungo;
Yes you're very right; Ismail Aden Rage; was jailed then released by Mkapa Government. Tanzania legal system is already corrupt; who is being jailed and set free is all questionable. Mr. Ndoranga was supposed to be put in jail for all his life. Kikwete and Rostam are supposed to be rotting in prison for rest of their lives. You YOUNG GENERATION heed my advise; I have what I wanted; but in case you do not seize this opportunity; of Dr SLAA being a President; people like you or Mr. Ismail ADen Rage will be rotting in jails; but the like of Rostam, Sita and Kikwete will prevail in this system; of a big fish surviving in smaller ones!! We need Dr. Slaa to change the course!!
 
Kuna mwingine nilisikia huko Iringa alikuwa jambazi naye anapeperusha bendera ya sisi mizi!
 
Ni kweli jamaa alifungwa jela akatoka kwa msamaha wa raisi,lakini kabla hajatoka alikata rufaa.Hukumu ya rufaa ilitoka wakati ameshatolewa jela kwa msamaha wa raisi lakini mahakama ya rufaa ilimsafisha kwamba hukumu iliyompeleka jela haikuwa halali.Kwamba hakutenda kosa.Hivyo kikatiba anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote ya uongozi.

Watu waliokuwa TFF wanajua vizuri alichofanya Rage, so whether alisafishwa au hakusafishwa hii haina maana. Lakini at least aliyeleta thread hii amesema "alikuwa mwizi". Kama sasa si mwizi ni afadhari kuliko wagombea wengine ambao tunafahamu kabisa kuwa still ni wezi. even worse wengine hata muungwana anasimama nao majukwaani na kuwanadi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom