Bad Man Tivu
JF-Expert Member
- Jan 16, 2019
- 388
- 421
Tulia dawa iwaingie nyie makenge
Engel of death.Leo pamekuwepo na malalamiko lukuki hapa Jf kwamba media za ndani zimekwepa kuonyesha tukio la Tundu Lisu akikabidhiwa fomu na mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage.
Niko naangalia Clouds tv habari na wamemuonyesha kwa kirefu Tundu Lisu.
2020 hakunaga kama Dr Magufuli!
Aisee huko Cdm kuna wengi watoto na Mawazo ya kitoto sana!
Ndio maana jf imejaa viroja na matusi tu badala ya hoja zenye uzito!
Imagine tunajadili hii thread 😁😁😁😁😁
Haya muda Ni mmoja Kati ya walimu wazuri Sana,watu wawe wavumilivu.Mashujaa tu ndio wanaoweza kumsindikia Lissu au kumpokeakutokana na hali yamaingira tuliopo. Waoga watatubukiza kura...
Ujue Lissu is a legitimate threat kwenu mpaka umekuja kumuandikia Uzi mzima!Hapo vip!!
Leo nimeangalia msafara wa Lissu wakati anaenda kuchukua form na wakati anarudi, kwa kweli msafara wake ulikuwa kama msafara wa kugombea uenyekiti wa mtaa.
Kutokana na idadi ndogo ya watu walionekana kwenye msafara huu, ni ishara kuwa watanzania wameichoka Chadema, na wameshapoteza matumaini kama chama mbadala ya kushika dola ya nchi.
Pia ni wazi sasa watanzania wamejidhibitishia yakwamba chadema ni SACCOS na sio chama cha siasa.
Ule umati uliompokea Lissu kipindi kile akirejea nchi, haimaanisha wamempokea kwa lengo la kuumunga mkona katika harakati ya kugombea urais.. ule umati ulikuwa na watu wengi waliotaka kumuona tu Lissu kama kweli yupo hai au yalikuwa ni mambo ya siasa, pili kuna watu walienda kumpokea kwasababu ya haruma tu.. baada ya kunusurika kifo, jambo ambalo ni zuri ila watu hawa haimaanisha ndio waponyumba ya Lissu katika harakati yake ya kugombea Urais.
The devil you know is better, than the devil you don’t.
Somo la leo sote mimi ni na wewe serikali imeshaelewa jinsi kukabiliana na CDM.
Si ajabu uwepo wa Azam TV leo kurekodi tukio lote la uchukuaji form limelipiwa na NEC. Yote hayo ni kwa uelewa Azam wasingekuwepo (au media yoyote) sasa hivi kungekuwa na thread tofauti zenye kuzusha uongo wa kila aina kitu gani kilitokea na namna CDM walivyotaka dhulumiwa haki yao na NEC.
Kwakuwa hakuna jipya na NEC waliona isiwe shida wawape tu hizo form ata bila ya kwenda na katibu sasa hivi wenzako wameamia kuilaumu Azam TV na Ayo Tv ndio watu waliowakosea leo kwa sababu wazijuazo wao wenyewe.
Kama nilivyokwambia CDM ni chama ambacho ili kufanya siasa lazima kitafute mbinu za kuonekana kinaonewa kwenye jamii, lakini hakina ushawishi wa kisera ili kupata support ya kutosha.
Nikiangalia uchokozi wa CDM toka Lissu ametua mpaka leo inaonekana Magufuli anajiamini na kazi yake kaamua hakuna kuwapa kiki uchaguzi huu. Msipojipanga mtajimaliza wenyewe time will tell.
Haujui ulizungumzialo ,watu makini kama kina Dotto bulendu wameweka hadi mada kwenye jicho letu ndani ya habari kuzungumzia hilo swala,watu walienda field kwenye tukio chombo kilichokuwepo ni Azam tu ,Vyombo vingine vimechukua video za youtube na kurusha ila hawajenda kabisa!! Hata Azam baadae walifuta post za kuhusu lissu.Leo pamekuwepo na malalamiko lukuki hapa Jf kwamba media za ndani zimekwepa kuonyesha tukio la Tundu Lisu akikabidhiwa fomu na mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage.
Niko naangalia Clouds tv habari na wamemuonyesha kwa kirefu Tundu Lisu.
2020 hakunaga kama Dr Magufuli!
halafu utawasikia watu wanakufa na corona hatuambiwi ,hawa jamaa bwana.Hapo vip!!
Leo nimeangalia msafara wa Lissu wakati anaenda kuchukua form na wakati anarudi, kwa kweli msafara wake ulikuwa kama msafara wa kugombea uenyekiti wa mtaa.
Kutokana na idadi ndogo ya watu walionekana kwenye msafara huu, ni ishara kuwa watanzania wameichoka Chadema, na wameshapoteza matumaini kama chama mbadala ya kushika dola ya nchi.
Pia ni wazi sasa watanzania wamejidhibitishia yakwamba chadema ni SACCOS na sio chama cha siasa.
Ule umati uliompokea Lissu kipindi kile akirejea nchi, haimaanisha wamempokea kwa lengo la kuumunga mkona katika harakati ya kugombea urais.. ule umati ulikuwa na watu wengi waliotaka kumuona tu Lissu kama kweli yupo hai au yalikuwa ni mambo ya siasa, pili kuna watu walienda kumpokea kwasababu ya haruma tu.. baada ya kunusurika kifo, jambo ambalo ni zuri ila watu hawa haimaanisha ndio waponyumba ya Lissu katika harakati yake ya kugombea Urais.
Hakuna kituMkuu, siasa inaendeshwa na mikakati, kumbuka Dodoma ndipo kitovu cha lile tukio lililompeleka ktk uvuli wa mauti lilipotokea. Leo ilikuwa ni "demo" tu ya kimkakati ya kuuonyesha ulimwengu kuwa Tundu Lissu yupo tayari ktk mpambano mgumu wa kuitwaa dola kupitia sanduku la kura.
Haujui ulizungumzialo ,watu makini kama kina Dotto bulendu wameweka hadi mada kwenye jicho letu ndani ya habari kuzungumzia hilo swala,watu walienda field kwenye tukio chombo kilichokuwepo ni Azam tu ,Vyombo vingine vimechukua video za youtube na kurusha ila hawajenda kabisa!! Hata Azam baadae walifuta post za kuhusu lissu.
HahahahahahahNi Yeye 2020
Hela za misafara hawana wahurumie tu
leo dodoma ilifurika kila kona ya mji.
Ndio sera ya uchaguzi hiyo itakayo mtoa Magufuli madarakani kwa kupambana na media.Hata huku kwenye Dar kwenye mikutano ya ACT na Chadema mbona Maalim na Lisu walizimiwa sauti ??