Baada ya kufuatilia historia ya mgogoro huu nimepata wazo kwamba Tanzania ilikua na historia ya kipekee ya kushughulikia tatizo hilo wakati wa serikali ya Bakili Muluzi (94-2004).
Muluzi alikua ni rais ambaye alikuja kua na uhusiano mzuri sana na Tanzania na uhusiano mzuri wa kikazi na Rais mstaafu Mkapa.
Mkapa ambaye alikuwa anajua tatizo hili kwa undani kama kiongozi wa muda mrefu wa ngazi za juu, angepaswa kutumia muda huo kuanzisha mazungumzo ya kutatua hili tatizo kwa kuongea na serikali "rafiki" ya Malawi ya wakati huo baada ya kuondolewa kwa Kamuzu Banda (aliyekua mtu mgumu kuongea nae lolote la maana).
Kama kawaida viongozi wetu wamekua hawana malengo ya muda mrefu yenye manufaa ya taifa wanatumikia miaka 10 yao halafu wanajenga mahekalu ya kustaafu na wananchi mtajijua wenyewe. Sera ya nje ya Tanzania baada ya kumalizika kwa vita ya baridi ya dunia imebaki kua shambolic to say the least. Hatuna dira wala mipango ya kimkakati ya kutumia jiografia (geo politics) kutetea na kujilinda kimaslahi katika eneo hili lenye migogoro isiyoisha.
Sasa hivi na matatizo ya kiuchumi duniani na siasa za ushindani za Malawi kuna uwezekano wa kuendelea kupata reactionary leaders au populist leaders kama huyu Banda na kale kadirisha kalikokuepo miaka ya 94-2004 kua ndiyo kamefunga kabisa.
Mungu ibariki Tanganyika yetu,
Mharakati
Muluzi alikua ni rais ambaye alikuja kua na uhusiano mzuri sana na Tanzania na uhusiano mzuri wa kikazi na Rais mstaafu Mkapa.
Mkapa ambaye alikuwa anajua tatizo hili kwa undani kama kiongozi wa muda mrefu wa ngazi za juu, angepaswa kutumia muda huo kuanzisha mazungumzo ya kutatua hili tatizo kwa kuongea na serikali "rafiki" ya Malawi ya wakati huo baada ya kuondolewa kwa Kamuzu Banda (aliyekua mtu mgumu kuongea nae lolote la maana).
Kama kawaida viongozi wetu wamekua hawana malengo ya muda mrefu yenye manufaa ya taifa wanatumikia miaka 10 yao halafu wanajenga mahekalu ya kustaafu na wananchi mtajijua wenyewe. Sera ya nje ya Tanzania baada ya kumalizika kwa vita ya baridi ya dunia imebaki kua shambolic to say the least. Hatuna dira wala mipango ya kimkakati ya kutumia jiografia (geo politics) kutetea na kujilinda kimaslahi katika eneo hili lenye migogoro isiyoisha.
Sasa hivi na matatizo ya kiuchumi duniani na siasa za ushindani za Malawi kuna uwezekano wa kuendelea kupata reactionary leaders au populist leaders kama huyu Banda na kale kadirisha kalikokuepo miaka ya 94-2004 kua ndiyo kamefunga kabisa.
Mungu ibariki Tanganyika yetu,
Mharakati