Mgogoro wa Ziwa Nyasa: Punda afe mzigo wa tajiri ufike?

Mpaka sasa kauli nzito za kutishia vita zimeshatamkwa na wafuatao:
1. Samwel Sitta
2. BERNARD Membe
3. Edward Lowassa.
Ukiangali nyuma ya pazia utajua kuwa hawa wote wana Political Motive, na ni prospectives wa 2015!
ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO!

Nilikua na wazo kama lakwako mkuu
kama ulimsikiliza membe vizuri alisema Serikali ya ccm haitaweza kuvumilia vitendo kama hivi . badala yakusema serikali YaTanzania , pia sioni haja saana ya kuitaja ccm kwenye huu mgogoro

nchi ndoina ingia kwenye vita nasi serikali ya ccm kama alivyo sema
nakubaliana na wewe hii ni janja ya nyanikula indibichi
 
Lowassa anataka tuingie vitani ili afanye biashara ya silaha

Nilikua na wazo kama lakwako mkuu
kama ulimsikiliza membe vizuri alisema Serikali ya ccm haitaweza kuvumilia vitendo kama hivi . badala yakusema serikali YaTanzania , pia sioni haja saana ya kuitaja ccm kwenye huu mgogoro

nchi ndoina ingia kwenye vita nasi serikali ya ccm kama alivyo sema
nakubaliana na wewe hii ni janja ya nyanikula indibichi
We are dancing to the same tune now!
Ile vita ya Comoro iliwapa watu kuvimba vichwa, na nakumbuka wakati unakaribia Uchaguzi wa 2010 ilikuwa ikiwekwa mara kwa mara ili kuonyesha jinsi maamuzi ya watawala wetu yalivyo ya busara, kumbe ndani ni namna politiki!
Sasa itakuwa hii ya kupiganisha nchi?
Hii ni dili kubwa in many ways!...You guys will forget each and everything kuhusu nchi hii, and you will be ready for anything to facilitate the battle...Mafuta yataingizwa nchini bila kuangalia bei, mitambo na equipment zitaingizwa regardless of cost!..Hapo ndipo wenye hela zao watakapoamka na double utajiri.
Look into this!
 
Malawi ni kanchi kadogo sana, nadhani ukubwa wake ni kama mkoa wa Mwanza, ukiiweka na Geita kabla haijapewa mkoa, issue yangu ni hii, hivi wanajeshi wetu sasa hivi, bado wanaouzalendo huo wa kuipigania nchi yao kama enzi za Iddi Amin Dada? maana'ke wanajua hata kama watatoa damu zao, kula wanakula wengine while wao wanaachwa tu, so hofu yangu mimi, nikichanganya na ujio wa mama clinton hapo Nyasaland, dalili za kupigwa naziona zote, hili likitokea, itakula kwa viongozi wanaotaka kutotekeleza ahadi zao kwa kisingizio cha kuwa vitani!
 
Wewe unasema hayo maneno coz uko Mbali na eneo la tukio!
Mtu anayeishi Mbeya au pale pale Kyela hawezi kuthubutu kuongea kitu hicho.
Ukitaka kujua zaidi waulize watu wa Uganda wa miaka ya 1978/79 wakueleze shughuli ya vita inamaanisha nini kwa raia wanaoishi hapo.
Just as we are talking here, nothing is the same in Kyela. Kuna jamaa yangu hapa kila baada ya masaa mawili anapokea simu za kuombwa hifadhi huku kutoka kwa watu wa kwao huko Kyela!
Think about it from the obtuse angle.

hii hai justify sisi kuogopa kuingia vitani kulinda mipaka yetu, mimi nipo karibu tu na eneo la tukio na sitasita kujiunga na jeshi letu kulinda mipaka yetu tunatakiwa tujipange kupigana vita vya muda mfupi sana with minimum loss lakini haikubaliki kuwaachia wamalawi ziwa lote wewe ungekuwa amir jesh mkuu basi ungekuwa hufai maana muoga!!
 
Suala ambalo lipo ni kuwa Wamalawi wametangaza ziwa lote ni lao na wameanza kufanya utafiti wa mafuta ndani ya ziwa bila kujali mpaka katikati ya ziwa! sasa je waachiwe tu waendelee? nani anajua kesho congo watasema tanganyika lote ni lao uganda wakasema victoria lote lao? mimi naona hatua za kijeshi dhidi ya malawi zinacheleweshwa bila sababu jeshi li strike haraka sana na kuwaondoa ndani ya mipaka yetu!tuacheni woga!


sio tu watanzania tumekuwa waoga . tumekuwa kama was...nge.
 
Badala ya kupambana na matatizo yanayowafanya wananchi waigomee serikali yao, wao wanaona vita ndo rahisi kupigana ili kukomboa kipande cha nchi ambacho kiko majini! Na bado Malawi wanakaribisha mazungumzo ila wenyewe wana-opt vita, kweli hii nchi yetu aliyeiroga alishakufa! na tutataabika sana!
 
Back
Top Bottom