mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,953
- 9,855
Nilianza kusoma bandiko lako baada ya kuona limejaa takataka sijamaliza kusoma huu upupu wako.I
Iko hizi, nyinyi Covid 19 mmefukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chadema na siyo Askofu Bagonza.
Hoja za kimalaya malaya usituletee hapa JF kutupotezea muda, wananchi wana hasira na nyinyi mbwa kabisa.
Hasumbuliwi na ugonjwa wowote,Unasumbuliwa na ugonjwa wa selective amnesia?
Soma hoja yote kabla ya kupayuka.
Mama Amon na Covid 19 Wenzio,naona hamlali usingizi,
Chama kimeshawafukuza na mmebahatika kuwa wabunge wa viti maalumu ambovyo amepewa Ndugai na katiba yao,mbona unawashwa,waache chadema na shida zao,na ninyi nendeni mliko unga juhudi.