Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,525
- 1,704
Sijui ulisoma shule gani. Currently si wanachama wamevuliwa uwanachama na kamati kuu, ndiyo maana wamekata rufaa kuomba warudishiwe uwanachama!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Uamuzi huo tayari umepingwa kwa hoja.
So it is hanging in balance.
Wajumbe wa BKT wanakuja kumaliza kazi.
Watabatilisha kila kitu.
Wewe unafanya utabiri wa wa hali ya hewa (Future tense)