Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,021
- 2,478
- Thread starter
- #181
Kwa hiyo wewe unaunga mkono yupi:Jamani serikali yetu inamambo mengi mazuri inayoshunghulika nayo tena yenye faida kubwa kwa taiga letu, lakini cha ajabu haya mazuri yote huyaoni hata ukatuletea huku mtandaoni, yaani wewe kazi yako nikutuletea umbea wa chadematu! Inatosha sasa chdm waachie wenye kawaambie waliokutuma cove 19 hawaitajiki tena hata huku kwetu hatuwataki
covid19?
coovid19+?
au CCM na serikali yake?
Sijakuelewa ujue....