Kwani si tunamzungumzia Mungu wako wa "enjili"Hapana. Ungesema hivi: "Ukitaka KUJADILI Mambo ya MUNGU wa Biblia..." Lakini, fahamu kuwa, nje ya Biblia unachokisema hakina uhalisia. Think outside the box...
HIVYO BASI, Kwa pamoja nagusa hoja (UGONJWA) na mtoa hoja (TABIA ZAKE HATARISHI)..
Hapa maji yamezidi unga.. MUNGU ATUREHEMU.Mungu wa enjili?
Hapana. Tunamwongelea Mungu wa Mbowe sv Miungu baki.
Hivyo ndivyo mjadala ulivyioanza.
mimi nimesha kukubali wewe, hivyo tabia zako mbaya nitakusaidia kuziondoa.Zingatia.
- Nataka mjadala wenye tija.
- Hapa tunatumia bando.
- Lazima litumike kwa faida.
- Kanuni za majadiliano sanifu haziruhusu hicho unachokifanya.
- Ni muhimu kutofautisha hoja na mleta hoja, ili tuweze kukataa hoja yake mbaya, kukubali hoja yake nzuri, na kuendelea kumkubali kama binadamu mwenzetu.
- Ni muhimu kutofautisha tabia na mleta tabia, ili tuweze kukataa tabia yake mbaya, kukubali tabia yake nzuri, na kuendelea kumkubali kama binadamu mwenzetu.
MUNGU MWENYE UWEZO WA KUREHEMU KWA WINGI WA REHEMA ZAKE.Mungu yupi aturehemu?