businesslink
Senior Member
- Mar 20, 2019
- 129
- 113
Je Jaji Mkuu wa Tanzania amefanya nini na ame play role ipi kwenye hii sakata?
Ni kweli kikatiba, mamlaka yake na mhimili wake hauingilii mihimili mingine lakini je ni kweli hana role yoyote ile kwenye huu mgogoro?
Kuna nini nyuma ya pazia?
Tafakari then Jadili
Ni kweli kikatiba, mamlaka yake na mhimili wake hauingilii mihimili mingine lakini je ni kweli hana role yoyote ile kwenye huu mgogoro?
Kuna nini nyuma ya pazia?
Tafakari then Jadili