Mgogoro wa Spika vs CAG: Role ya Bashiru Ali ni ipi?

businesslink

Senior Member
Mar 20, 2019
129
113
Katika hali ya kawaida nilitegemea kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Bashiru Ali atakuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu ya mgogoro huu kati ya CAG Prof. Mussa Assad na Spika wa Bunge Ndugu Job Ndugai.

Kama katibu Mkuu wa CCM je ndugu Bashiru amefanya jitihada zipi ili kulimaliza hili jambo? Na kama amefanya jitihada kimya mbona hajajitokeza hadharani kwa maslahi ya nchi ambayo CCM nids chama Tawala?

Kimya chake tukitafsiri vipi? Je ina maana yuko upande wa upi?


Mwisho Kabisa....

Kama alishawahi kuwakutanisha ili kuwapatanisha hawa watu wawili na wakakubaliana, mbona hajitokezi kusema walikubaliana nini wazi nani alivunja shayo makubaliano?


Mungu Ibariki Tanzania Mungu
 
Mh Ndugai anaeleweka kuwa ni mtu asiyekubali kuahindwa hata kama hana hoja. Kama kwenye kura ya maoni alishindwa lkn aliamua kutumia fimbo kwa Mpinzani wake. Je ni nani atakaekaa meza moja na mtu wa namna hiyo?? Kama wakati ule chama hakijatoa tamko lakulaani kitendo kile iweje leo kitoe kwa hili?? Chama ni kile kile cha kijani hawana jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hali ya kawaida nilitegemea kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Bashiru Ali atakuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu ya mgogoro huu kati ya CAG Prof. Mussa Assad na Spika wa Bunge Ndugu Job Ndugai.

Kama katibu Mkuu wa CCM je ndugu Bashiru amefanya jitihada zipi ili kulimaliza hili jambo? Na kama amefanya jitihada kimya mbona hajajitokeza hadharani kwa maslahi ya nchi ambayo CCM nids chama Tawala?

Kimya chake tukitafsiri vipi? Je ina maana yuko upande wa upi?


Mwisho Kabisa....

Kama alishawahi kuwakutanisha ili kuwapatanisha hawa watu wawili na wakakubaliana, mbona hajitokezi kusema walikubaliana nini wazi nani alivunja shayo makubaliano?


Mungu Ibariki Tanzania Mungu
Hana role zaidi ya kungojea upepo unaopeleka mkono kinywani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kimya cha bashiru tutafsiri kuwa yuko upande upi?

Hakuna mnafiki mwenye msimamo. Sasa hivi anatii analotaka mkubwa wake. Bashiri huyu sio yule aliyekuwa anaamini katika haki, sasa hivi anaona udhalimu wa wazi anakaa kimya kisa mlo.
 
Katibu mkuu wa CCM kaiva katika siasa na uongozi, huu mgogoro haumuhusu yeye kama yeye kwa sababu kuu mbili
1. CAG si mwanasiasa na anamamlaka yake kikatiba na kisheria.
2. Spika ni mkuu wa muhimili mwingine ambao si ule ambao chama inabidi uusimamie ilhali spika ni mwanaCCM ila mgogoro wao hauhusu CCM bali bunge
 
Katibu mkuu wa CCM kaiva katika siasa na uongozi, huu mgogoro haumuhusu yeye kama yeye kwa sababu kuu mbili
1. CAG si mwanasiasa na anamamlaka yake kikatiba na kisheria.
2. Spika ni mkuu wa muhimili mwingine ambao si ule ambao chama inabidi uusimamie ilhali spika ni mwanaCCM ila mgogoro wao hauhusu CCM bali bunge
Kwa nini alikutana nao kuwapatanisha?
 
Katika hali ya kawaida nilitegemea kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Bashiru Ali atakuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu ya mgogoro huu kati ya CAG Prof. Mussa Assad na Spika wa Bunge Ndugu Job Ndugai.

Kama katibu Mkuu wa CCM je ndugu Bashiru amefanya jitihada zipi ili kulimaliza hili jambo? Na kama amefanya jitihada kimya mbona hajajitokeza hadharani kwa maslahi ya nchi ambayo CCM nids chama Tawala?

Kimya chake tukitafsiri vipi? Je ina maana yuko upande wa upi?


Mwisho Kabisa....

Kama alishawahi kuwakutanisha ili kuwapatanisha hawa watu wawili na wakakubaliana, mbona hajitokezi kusema walikubaliana nini wazi nani alivunja shayo makubaliano?


Mungu Ibariki Tanzania Mungu
SPIKA [HUKU POVU LIKIMTOKA]; Sugar is the only word in English which start with su and pronounced as it is
CAG [HUKU KATULIA] ; Are you sure.
 
Ndugai kama lengo lako la kumwita CAG mbwa ilikuwa ni kumuudhi basi unakaribia kufanikiwa lengo, sasa mwite nguruwe ili umuuzi kwa haraka zaidi
 
Katika hali ya kawaida nilitegemea kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Bashiru Ali atakuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu ya mgogoro huu kati ya CAG Prof. Mussa Assad na Spika wa Bunge Ndugu Job Ndugai.

Kama katibu Mkuu wa CCM je ndugu Bashiru amefanya jitihada zipi ili kulimaliza hili jambo? Na kama amefanya jitihada kimya mbona hajajitokeza hadharani kwa maslahi ya nchi ambayo CCM nids chama Tawala?

Kimya chake tukitafsiri vipi? Je ina maana yuko upande wa upi?


Mwisho Kabisa....

Kama alishawahi kuwakutanisha ili kuwapatanisha hawa watu wawili na wakakubaliana, mbona hajitokezi kusema walikubaliana nini wazi nani alivunja shayo makubaliano?


Mungu Ibariki Tanzania Mungu
Nafikiri jiwe ndo anaengineer huu uovu vingnevyo asingeruhusu Ndugai adhalilishe Bunge ndo mana utaona hata wa bunge wa ccm wote wamekua kimya mpaka Bashe
 
Ndugai akili ndogo hashauriki na Bashiru anajua mzee ni mtu wa hovyo hawezi kuwakutanisha, Ndugai akili yake ipo kama ya mtoto sasa analia lia kutaka kumuingiza rais kwenye mgogoro ili rais amtengue Asad.. Wamuache Ndugai na bakora zake tuone kama atathubutu kumcharaza Asad..
 
Back
Top Bottom