Huyu Dauda mnafiki na mchakuchaku sana. Nasikia ndiyo yeye aliyesababisha hadi Baloteli anapigwa benchi na Manchini. Baloteli alimaindi kinoma ila akaona aipotezee tu.
Akiletewa email hizo aibu ataificha wapi?
CCM + R1 JK wanaitafuna Yanga period!!