Mgogoro wa Madiwani wa CHADEMA Arusha: Lema anahusika

Nakubaliana na wewe kwa maelezo yako lakini nina shaka na hapo kwenye nyekundu.

Kama walipewa mfupa mkubwa bila kujali uwezo wao, je walipata wapi uwezo wa kuingia mkataba wa kugawana madaraka? kama ulikuwa ni mfupa mkubwa kwanini hawakumueleza katibu mkuu kwamba huu mfupa ni mkubwa??

Tunatakiwa tutenganishe kati ya maslahi binafsi na maslahi ya umma. Tukisha chora mstari hapo ndo tutajadiliana vizuri zaidi.

Hili limekunywa maji ya bendera lina afadhali kidogo.
 
Unawashwa wewe! Kila siku spinning...tumekuchoka...Grow up and be a man!

Hili lina midevu ka ufagio wa choo cha stend.
avatar43960_2.gif
 
Haya unayoyaeleza hayana mtiririko unaofuatana wa kile ambacho kimeshasemwa na viongozi wa juu wa CDM, hasa Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CDM taifa. Walisema kwamba, kweli kulikuwa na mazungumzo yanayoendelea kati ya kiongozi wa kambi ya upinzani na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ninachokumbuka (nipo tayari kwa masahihisho) kuwa CDM ilitoa masharti matatu kwa serikali (kupitia waziri mkuu) kuwa ili wafikie muuafaka kuhusu suala la Arusha:1. Serkali ikiri kuwa ilikosea kwamba kweli uchaguzi wa Meya wa Arusha haukuwa halali.2. Wafute kesi iliyoko mahakamani ambayo inawahusu viongozi wa CDM na wanachama wao.3. Askari waliofanya mauaji pale Arusha wachukuliwe hatua.Hivyo ni wazi kuwa kulikuwa na mazungumzo na Mh. Lema alikuwa anapata habari (endapo itatafisiriwa kama ushiriki) kuhusu kilichokuwa kinaendelea kwa kila hatua. Uhitimishaji wa mazungumzo wenye lengo la kugawana madaraka ndiyo unaoleta mashaka hasa ukizingatia kuwa kama viongozi wa juu walikuwa wanashiriki mazungumzo na waziri mkuu, ilikuwaje hatua za umaliziaji haikuwahusisha wao?
Mkuu, asante kwa reminder nzuri.

Tunasubiri Report ya Kamati. Hizi propaganda nyingine zinawafaa watu wambea na wazabizabina!
 

Utaupenda tuuu ikiwa utatoka na kufikiri nje ya box la chama chako.Leo ukiambiwa elezea unafiki wa Ngongo uko wapi nakwambia utapata shida kama konokono msimu wa kiangazi.
Kuelezea unafiki wako ni kazi kubwa sana maana chuki zako zidi ya kamanda Lema ni noma labda kwa mtu ambae ana mna apitie mabadiko haya....

  1. [h=3]Arusha ubunge bado uko wazi kwa batilda,lema na lyimo[/h]
  2. [h=3]Poll: Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema[/h]
  3. [h=3]Urafiki wa Lema na Mawazo wafikia ukingoni[/h]
  4. [h=3]Mzimu wa Sombetini wamtafuna Godbless Lema[/h]
  5. [h=3]Lema azidi kupata umaarufu baada ya kushtakiwa tena[/h]
 
Kuelezea unafiki wako ni kazi kubwa sana maana chuki zako zidi ya kamanda Lema ni noma labda kwa mtu ambae ana mna apitie mabadiko haya....
  1. [h=3]Arusha ubunge bado uko wazi kwa batilda,lema na lyimo[/h]
  2. [h=3]Poll: Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema[/h]
  3. [h=3]Urafiki wa Lema na Mawazo wafikia ukingoni[/h]
  4. [h=3]Mzimu wa Sombetini wamtafuna Godbless Lema[/h]
  5. [h=3]Lema azidi kupata umaarufu baada ya kushtakiwa tena[/h]

Hapo hawezi kutia mguu, na usishangae akakimbia thread yake kama nape!!
 
Crashwise kukusaidia miongoni mwa mapendekezo yalikuwa nje ya uwezo wa madiwani.

[1] Mkurugenzi wa jiji afukuzwe kazi.Madiwani wa CHADEMA hawana mamlaka ya kumfukuza kazi Mkurugenzi wa jiji hasa ukizingatia idadi ya yao.

[2] OCD afukuzwe kazi.Hili nalo liko nje ya mamlaka ya madiwani.IGP atakuwa anafanya nini ?.

[3] Uchaguzi wa meya urudiwe.Kwanini CHADEMA isiende mahakamani kama wanaona wana haki.Mgogoro ulikuwa Mama Mary Chatanda mbunge viti maalumu Tanga.Katiba yetu inaruhusu wabunge wa viti maalumu kufanya hivyo,hata CHADEMA wamefanya hivyo jimbo la Hai.

Ukitazama nje ya box la ushabiki maagizo yote toka kwa katibu mkuu CHADEMA kwenda kwa Madiwani hayatekelezeki katika ngazi ya wilaya.CHADEMA taifa walitakiwa kuhandle issue nzima kama walitaka muaafaka wa kweli.Madiwani walipewa mfupa mkubwa bila kujali uwezo wa meno yao.
1-2. serikali ilipotoa tamko kuwa sukari ipunguzwe bei mpaka 1700 chadema ndiyo walipunguza mbona unatoa hoja kama mjinga mjinga hivi...wanachokifanya ni kuishinikiza serikali ya CCM kuwaondoa wahusika....kwasababu hata kama mwafaka utapatika watu kama hawa kufanya nao kazi ni vigumu sana...
3. ulivyo na akili fupi, wewe unadhani kila kitu lazima kiende mahakamani, mbona majadilia yalikuwa yanaendea na wakafikia kuachia baadhi na nafasi kutengua huo uchanguzi kuna ugumu gani na kama wanaamini waishinda kiharali si warudie ili washinde tena...tupe kifungu kinacho ruhusu ujinga wa mbunge alie apa kutumikia mkoa wa Tanga kuwa mjumbe harari Arusha...
 
Madiwani wa CDM Arusha fanyeni kweli basi huyu mtu ni wa migogoro na visasi tu,haelewi kuwa anatakiwa awatumikie wananchi au uchaguzi uliisha mwaka jana bado anadhani kampeni zinaendelea,wananchi wanahitaji maendeleo siyo malumbano alitegemea bajeti ya jiji apitishe nani kama siyo madiwani na ingepitishwaje kama madiwani hawaelewani,huyu anaelewa lakini amejaa sifa mfanyieni kweli apunguze ushamba
Wananchi tumetumikiwa kwa takribani miaka 50 sasa mbona tunashindia mihongo na maji....acha asimamie haki tuna haraka gani eti kwa kisingizio ya maendeleo yatasimama, maendelo yapi...bajeti ilisha pitishwa siku nyingi( si madiwani wa CDM)...
 
Back
Top Bottom