Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,917
- 31,157
Katika hali ya kushangaza tume inayochunguza muafaka baina ya madiwani wa CCM na CHADEMA imegundua mbunge wa Arusha mjini Mheshimiwa G Lema alijua na kushiriki katika hatua mbali mbali kabla ya kufikiwa kwa muafaka.
Madiwani wa CHADEMA wamemshutumu Lema kwa kutoa tamko la kulaani muhafaka huo wakati alikuwa na fursa ya kufanya hivyo ndani ya vikao kwakuwa hata yeye ni diwani kwa wadhifa wake wa ubunge.
Kabla ya kutiwa saini muafaka mheshimiwa alipigiwa simu na kupewa taarifa na maafikiano ya kikao baina ya madiwani wa pande zote mbili.
Madiwani wa CHADEMA wamemtaka Lema kuwaomba radhi na kukanusha shutuma zote dhidi yao kinyume chake watamburuza mahakamani.
Tume imebaini mapungufu makubwa kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa.
Madiwani wa CHADEMA wamemshutumu Lema kwa kutoa tamko la kulaani muhafaka huo wakati alikuwa na fursa ya kufanya hivyo ndani ya vikao kwakuwa hata yeye ni diwani kwa wadhifa wake wa ubunge.
Kabla ya kutiwa saini muafaka mheshimiwa alipigiwa simu na kupewa taarifa na maafikiano ya kikao baina ya madiwani wa pande zote mbili.
Madiwani wa CHADEMA wamemtaka Lema kuwaomba radhi na kukanusha shutuma zote dhidi yao kinyume chake watamburuza mahakamani.
Tume imebaini mapungufu makubwa kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa.