KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 732
Hivi bwana nape kwa mapovu haya ndio walikuamini wakakupa uenezi?Hivi hawa wanaompinga meya fisadi na waliowafukuza ni nani anayetetea maslahi ya wananchi?
Jipange braza lichama mfu linateketea kabisa kwa kukumbatia wauza unga,mafisadi,wauaji majambazi ambao ndio wafadhili wa magamba.
Jipange braza lichama mfu linateketea kabisa kwa kukumbatia wauza unga,mafisadi,wauaji majambazi ambao ndio wafadhili wa magamba.