Mgogoro wa kisheria Tz bara na Tz visiwani

Goheki

JF-Expert Member
Aug 23, 2011
448
387
Katiba inatamka Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar,cha ajabu kuna mamlaka zinaitwa za Tanzania na wakati huo huo,Tz visiwani nao wanaanzisha mamlaka hiyo hiyo,ila kwa jina la Zanzibar,kwa tuna kituo cha uwekezaji (TIC)visiwani wana cha kwao pia,hii imekaaje?
 
Umewahi kusikia nchi zifuatazo:
  • Tanzania
  • Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
  • Tanzania Bara
  • Tanzania visiwani
  • Tanzania Zanzibar
 
Katiba inatamka Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar,cha ajabu kuna mamlaka zinaitwa za Tanzania na wakati huo huo,Tz visiwani nao wanaanzisha mamlaka hiyo hiyo,ila kwa jina la Zanzibar,kwa tuna kituo cha uwekezaji (TIC)visiwani wana cha kwao pia,hii imekaaje?

Pasi na shaka wewe ni mbumbumbu wa sheria za nchi yako.

Kwa kukujuza muungano wa Tanganyika na Znz ni wa KIMKATABA NA WALA SI WA KISHERIA. Kuna mambo ambayo mkataba huo umeyabainisha kuwa ni hayo tu ndio ya muungano na mengine yanakuwa nje ya muungano.

nakupa homnework fuatilia hayo makubaliano ya muungano baina ya Tng na Znz utajua mengi.

Kila la kheir
 
Hapo hakuna mgongano maana kuna mambo ya Muungano na mengine siyo ya Muungano, Mgogoro uliopo ni suala la marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010, kwani wao wameweka makamu wawili wa rais na kumuondoa waziri kiongozi wakati katiba ya JMT bado inamtambua waziri kiongozi na haiwatambui hao makamu wawili
 
<span style="font-family: arial black">Pasi na shaka wewe ni mbumbumbu wa sheria za nchi yako.<br />
<br />
Kwa kukujuza muungano wa Tanganyika na Znz ni wa KIMKATABA NA WALA SI WA KISHERIA. Kuna mambo ambayo mkataba huo umeyabainisha kuwa ni hayo tu ndio ya muungano na mengine yanakuwa nje ya muungano.<br />
<br />
nakupa homnework fuatilia hayo makubaliano ya muungano baina ya Tng na Znz utajua mengi.<br />
<br />
Kila la kheir</span>
<br />
<br />
Hayo ni mawazo
 
Umewahi kusikia nchi zifuatazo:
  • Tanzania
  • Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
  • Tanzania Bara
  • Tanzania visiwani
  • Tanzania Zanzibar

Hapo kwenye red ndiyo sahihi kwa uelewa wangu, ingawa huandikwa na kutamkwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Ukisema Jamhuri ya Muungano 'wa' Tanzania, je Tanzania wameungana na nani. Kwa sababu jina TANZANIA, tayari ni Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Kwa hiyo ni Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na siyo wa Tanzania. Ni mawazo yangu tu.
 
Pasi na shaka wewe ni mbumbumbu wa sheria za nchi yako.

Kwa kukujuza muungano wa Tanganyika na Znz ni wa KIMKATABA NA WALA SI WA KISHERIA. Kuna mambo ambayo mkataba huo umeyabainisha kuwa ni hayo tu ndio ya muungano na mengine yanakuwa nje ya muungano.

nakupa homnework fuatilia hayo makubaliano ya muungano baina ya Tng na Znz utajua mengi.

Kila la kheir
Inawezekana hata mimi mbumbumbu pia....unaposema muungano sio wa kisheria unataka kusema nini hasa?
 
Back
Top Bottom