Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 448
- 387
Katiba inatamka Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar,cha ajabu kuna mamlaka zinaitwa za Tanzania na wakati huo huo,Tz visiwani nao wanaanzisha mamlaka hiyo hiyo,ila kwa jina la Zanzibar,kwa tuna kituo cha uwekezaji (TIC)visiwani wana cha kwao pia,hii imekaaje?