Mgogoro wa gesi Mtwara funzo kwa Mkoa wa Mara

tata mura

JF-Expert Member
Sep 27, 2012
275
49
Ndugu wana-Mara naomba nasi tuungane kutetea mali zilizopo Mkoani kwetu kufaidisha Wanamara kwanza, hii ni kama Mtwara watakubaliwa ombi lao. Mara imekuwa nyuma kwa siku nyingi na wala huwezi amini kama Baba wa Taifa hili alitokea huku. Mtwara wanataka gesi ila sisi tuombe tu vitu viwili vinufaishe kwanza Mara ambavyo ni;

  1. Mbuga ya Serengeti - Hii Mbuga imekuwa inawanufaisha sana watu wa Arusha sana bila kujali wananchi wa Mara. Hivyo tunatakiwa tuombe watarii wote wanaoenda kwenye Mbuga ya Serengeti waanzie Mara na wala siyo Arusha kama ilivyo sasa. Nyumba zote za Watalii zijengwe Mara, Usafirishaji wa wanyama poli wenye vibali ufanyikie Mara ikiwa ni pamoja na kujenga uwanja wa Ndege wenye hadhi.
  2. Migodi ya dhahabu - Kwasasa kuna mgodi mmoja wenyemuwekezaji hivyo ajira zote zitoke Mara, labda wawekwe wasimamizi tu wa vitengo husika kutoka mbali na Mara na wao wapewe masharti ya kuwafundisha wazawa ujuzi, ili kesho kujiendeshe wenyewe.

Naamini yote haya yakifanyika wananchi wa Mara tutapata ajira na umasikini tutautokomeza kabisa, kama wenzetu watakubaliwa nasi serikali sikivu haina budi kutujali kwa haya machache yasema. Kila mtu ale kulingana alipozaliwa ndipo Mungu alipompendelea kuwa. Wana-Mara nawomba nasi tuungane tutetee mali zetu tulizopewa na Mungu kwani siku ya mwisho atakuja tuuliza; Niliwapa taranta hamkuzitua mkawachia wengine. Tuamke sasa tuache kutoana roho kwa imani ya kishirikina tuchukue mali zetu hadi kieleweke.
 
We ulkuja na mali hapa duniani?
Mnapigana kwa vitu ambavyo Mungu ameweka kumbuka imeandikwa tiini mamlaka maana imewekwa na Mungu.
Kuua ni dhambi
 
Nchi yetu ina rasilimali kila kona wanamara mmelala. Mnakufa masikini wakati mungu kakupeni mali?watoto wenu watawalaani
 
We ulkuja na mali hapa duniani?
Mnapigana kwa vitu ambavyo Mungu ameweka kumbuka imeandikwa tiini mamlaka maana imewekwa na Mungu.
Kuua ni dhambi

Huwezi hata siku moja kutii mamlaka dhalimu !!
Unatakiwa kutii mamlaka inayotenda haki.
Soma maandiko vizuri utaona hii wazi kabisa kwenye maandiko.
Kataa kutii mamlaka dhalimu, maana kwa kutii mamlaka hiyo dhalimu utakuwa unashiriki kwenye udhalimu huo.
 
Mleta uzi ni mchochezi na mpenda migogoro!Tena unaonekana unataka serikali iwe na sababu ya kutowasikiliza watu wa Mtwara kwa kisingizio eti na watu wa Mara wanataka pia rasili mali zao!Acheni kupalilia migogoro kwa wa tz ambao wengi hawajitambui!
 
Mleta uzi ni mchochezi na mpenda migogoro!Tena unaonekana unataka serikali iwe na sababu ya kutowasikiliza watu wa Mtwara kwa kisingizio eti na watu wa Mara wanataka pia rasili mali zao!Acheni kupalilia migogoro kwa wa tz ambao wengi hawajitambui!

Siyo kupalilia bali tunatakiwa wote tuamke ili kama ni haki itendeke kote bila ubaguzi, je ulisha wahi kufika Mkoa wa Mara ukashuhudia maendeleo yake kwa kulinganisha rasilimali zilizopo?. Tusivutie upande mmoja ila tuwe sawa.
 
Wana MARA wajipange kudai haki kama wanahisi wamedhuru Historia ya nchi hii huwa inasoma hivi watu wa ukanda wa mwambao ndio wakwanza kupinga dhuruma siku zote....
 
Nchi yetu ina rasilimali kila kona wanamara mmelala. Mnakufa masikini wakati mungu kakupeni mali?watoto wenu watawalaani

Mh. Naona waathirika namba moja kwa movement hii, watakuwa ni wachaga. Any way mchuma janga hula na wa kwao. M4C na sera ya majimbo at work.
 
Hebu ondoka hapa na na nukuu ya vifungu vyako ki uchwara,
Unasoma mistari ya biblia hata kuelewa huelewi kisha unajifanya kutoa somo hapa.
Kwenda huko.
Kwa maneno kama yako ukoloni ulidumishwa dunia nzima,
kwa mameno kama yako viongozi wa serikali ya CCM wanahalalisha kila ushuzi.
Mbona Musa alipinga Mamlaka ya Farao ili kuwakomboa watu wake?
Mamlaka ya Farao haikutoka Mbinguni???????

Mali si ile ya kushikika tu, kama ndizi na kitumbua.
Ukiwa mwandishi gwiji wa Software nayo ni mali.
Ukifa unakufa na utaalamu wako,mali.
Sasa huko si kuja na kuondoka na mali yako???
Uwezo wa kufanya kazi ni mali tosha.
Ulikuja na uwezo wako na utaondoka nao.

Hivi una taka serikali ya CCM ikuue wewe ndiyo ujue kwamba ni serikali Mumiani ya wauaji???

Acha mawazo mgando.

Acha zako.
We ulkuja na mali hapa duniani?
Mnapigana kwa vitu ambavyo Mungu ameweka kumbuka imeandikwa tiini mamlaka maana imewekwa na Mungu.
Kuua ni dhambi
 
Huwezi hata siku moja kutii mamlaka dhalimu !!
Unatakiwa kutii mamlaka inayotenda haki.
Soma maandiko vizuri utaona hii wazi kabisa kwenye maandiko.
Kataa kutii mamlaka dhalimu, maana kwa kutii mamlaka hiyo dhalimu utakuwa unashiriki kwenye udhalimu huo.

Umesoma kitabu cha Mungu na kukielewa!! Kutii mamlaka dhalimu ni kutenda dhambi.
 
Watu wameamka na kugoma kufanywa wajinga,
Mamruki wanawaita wachochezi!!

Ninyi mlidhani vurugu za kudai haki haziwahusu Watanzania??

Kudai haki ni kudai haki, tena haki yote si nusu.

Kuna mgogolo wa misitu kule Mufindi, watu walinyang'anywa ardhi miaka ya 70 ili serikali ipande miti lakini wanao faidi si wao. Wana mufindi nao watadai ardhi yao ili wamiriki utajiri wao, bila hivyo patachimbika.

Huwezi taifisha ardhi kienyeji maeneo ya Uchaggani na Uhayani ukapanda miti ili Wahehe waje wavune.

Muda wa kudharau na kubeza watu umekwisha.
 
We ulkuja na mali hapa duniani?
Mnapigana kwa vitu ambavyo Mungu ameweka kumbuka imeandikwa tiini mamlaka maana imewekwa na Mungu.
Kuua ni dhambi
Hizi akili za Ki-Pwani kamwe haziwezi kuwa akili za wanaume halisi,,zaidi ni za ki-nazi nazi vile na ki-mak---amba mak--amba tu. Akili nyepesi kama hizi zinaitafuna nchi na tutajuta..Kafie mbali, huwezi kamwe kuzima moto wa petroli kwa maji..Mtaisoma namba na VINAZI vyenu
 
Ndugu wana-Mara naomba nasi tuungane kutetea mali zilizopo Mkoani kwetu kufaidisha Wanamara kwanza, hii ni kama Mtwara watakubaliwa ombi lao. Mara imekuwa nyuma kwa siku nyingi na wala huwezi amini kama Baba wa Taifa hili alitokea huku. Mtwara wanataka gesi ila sisi tuombe tu vitu viwili vinufaishe kwanza Mara ambavyo ni;

  1. Mbuga ya Serengeti - Hii Mbuga imekuwa inawanufaisha sana watu wa Arusha sana bila kujali wananchi wa Mara. Hivyo tunatakiwa tuombe watarii wote wanaoenda kwenye Mbuga ya Serengeti waanzie Mara na wala siyo Arusha kama ilivyo sasa. Nyumba zote za Watalii zijengwe Mara, Usafirishaji wa wanyama poli wenye vibali ufanyikie Mara ikiwa ni pamoja na kujenga uwanja wa Ndege wenye hadhi.
  2. Migodi ya dhahabu - Kwasasa kuna mgodi mmoja wenyemuwekezaji hivyo ajira zote zitoke Mara, labda wawekwe wasimamizi tu wa vitengo husika kutoka mbali na Mara na wao wapewe masharti ya kuwafundisha wazawa ujuzi, ili kesho kujiendeshe wenyewe.

Naamini yote haya yakifanyika wananchi wa Mara tutapata ajira na umasikini tutautokomeza kabisa, kama wenzetu watakubaliwa nasi serikali sikivu haina budi kutujali kwa haya machache yasema. Kila mtu ale kulingana alipozaliwa ndipo Mungu alipompendelea kuwa. Wana-Mara nawomba nasi tuungane tutetee mali zetu tulizopewa na Mungu kwani siku ya mwisho atakuja tuuliza; Niliwapa taranta hamkuzitua mkawachia wengine. Tuamke sasa tuache kutoana roho kwa imani ya kishirikina tuchukue mali zetu hadi kieleweke.

mechelewa..wenzenu wa Kusini wamewahi! andaeni program ya kufukia mahandaki mliyoachiwa Buhemba na hayo yanayotengenezwa Nyamongo! nilidhani nyie akina mura wajanja kumbe ujanja wenu ni wa kugechana (kuchinjana) wenyewe kwa wenyewe!!!
 
kama mmkoa wa mara una waisilamu basi wataweza mapambano ila kama si waisilamu hakuna kitu
 
Back
Top Bottom