Mgogoro wa Burundi: Mkapa ailaumu EAC kwa kutokutoa ushirikiano, ajiuzulu usuluhishi

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,482
9,242
Rais mstaafu wa Tanzania ameelezea masikitiko yake na hatua ya serikali ya Burundi kususia kikao cha mwisho cha mazungumzo na hali hiyo inaonyesha "msimamo wa muda mrefu " wa viongozi wa Burundi wa kutoshiriki katika mazungumzo baini ya Warundi, aliandika Mkapa.

Lakini hasa Benjamin Mkapa amesikitishwa kuona hakuungwa mkono vya kutosha katika jitihada zake, kwanza na Jumuiya ya Afrika Mashariki: "kutofanyika kwa mkutano wa kilele kuhusu mgogoro wa Burundi ulisababisha mimi kukosa uungwaji mkono wa jumuiya," amesema rais mstaafu wa Tanzania.

Bw Mkapa ametoa wito wa kuepo kwa mazungumzo yatakayo washirikisha wadau wote kwa kufuatisha ajenda iliyowekwa katika mazungumzo ya awali na ameomba viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kushinikiza uungwaji mkono kwa mchakato wa uchaguzi kwa kuweka masharti kwa uchaguzi wa kuaminika.

RFI swahili
 
Rais mstaafu wa Tanzania ameelezea masikitiko yake na hatua ya serikali ya Burundi kususia kikao cha mwisho cha mazungumzo na hali hiyo inaonyesha "msimamo wa muda mrefu " wa viongozi wa Burundi wa kutoshiriki katika mazungumzo baini ya Warundi, aliandika Mkapa.

Lakini hasa Benjamin Mkapa amesikitishwa kuona hakuungwa mkono vya kutosha katika jitihada zake, kwanza na Jumuiya ya Afrika Mashariki: "kutofanyika kwa mkutano wa kilele kuhusu mgogoro wa Burundi ulisababisha mimi kukosa uungwaji mkono wa jumuiya," amesema rais mstaafu wa Tanzania.

Bw Mkapa ametoa wito wa kuepo kwa mazungumzo yatakayo washirikisha wadau wote kwa kufuatisha ajenda iliyowekwa katika mazungumzo ya awali na ameomba viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kushinikiza uungwaji mkono kwa mchakato wa uchaguzi kwa kuweka masharti kwa uchaguzi wa kuaminika.

Trt swahili
tatizo EAC ni rais mmoja tu mwenye sifa ya kuitwa kiongozi - Uhuru K.
 
Rais mstaafu wa Tanzania ameelezea masikitiko yake na hatua ya serikali ya Burundi kususia kikao cha mwisho cha mazungumzo na hali hiyo inaonyesha "msimamo wa muda mrefu " wa viongozi wa Burundi wa kutoshiriki katika mazungumzo baini ya Warundi, aliandika Mkapa.

Lakini hasa Benjamin Mkapa amesikitishwa kuona hakuungwa mkono vya kutosha katika jitihada zake, kwanza na Jumuiya ya Afrika Mashariki: "kutofanyika kwa mkutano wa kilele kuhusu mgogoro wa Burundi ulisababisha mimi kukosa uungwaji mkono wa jumuiya," amesema rais mstaafu wa Tanzania.

Bw Mkapa ametoa wito wa kuepo kwa mazungumzo yatakayo washirikisha wadau wote kwa kufuatisha ajenda iliyowekwa katika mazungumzo ya awali na ameomba viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kushinikiza uungwaji mkono kwa mchakato wa uchaguzi kwa kuweka masharti kwa uchaguzi wa kuaminika.

Trt swahili
Wamemdharau na hataki kujiongeza, Tanzania yake ina matatizo kibao ya watu kupotezwa, kutekwa, upinzani kunyanyaswa na dola, halafu eti akawasuluhishe Burundi.
Pathetic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkapa asitake kujipatia umaarufu kupitia Warundi ........ naona warundi wamemshitukia!!

Charity starts at home ......... aanze na kijana wake hapa nyumbani ....!!
 
Rais mstaafu wa Tanzania ameelezea masikitiko yake na hatua ya serikali ya Burundi kususia kikao cha mwisho cha mazungumzo na hali hiyo inaonyesha "msimamo wa muda mrefu " wa viongozi wa Burundi wa kutoshiriki katika mazungumzo baini ya Warundi, aliandika Mkapa.

Lakini hasa Benjamin Mkapa amesikitishwa kuona hakuungwa mkono vya kutosha katika jitihada zake, kwanza na Jumuiya ya Afrika Mashariki: "kutofanyika kwa mkutano wa kilele kuhusu mgogoro wa Burundi ulisababisha mimi kukosa uungwaji mkono wa jumuiya," amesema rais mstaafu wa Tanzania.

Bw Mkapa ametoa wito wa kuepo kwa mazungumzo yatakayo washirikisha wadau wote kwa kufuatisha ajenda iliyowekwa katika mazungumzo ya awali na ameomba viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kushinikiza uungwaji mkono kwa mchakato wa uchaguzi kwa kuweka masharti kwa uchaguzi wa kuaminika.

Trt swahili
Mkapa mbona tangu D Day One upande mmoja ulikushtukia baada ya kuuoneshea ubabe! Badala ya kusuluhisha? Umevuna ulichopanda.
 
Rais mstaafu Mkapa alitegemea kuungwa mkono! Ni serikali ipi katika nchi za Afrika Mashariki inaweza kusimama na kutetea haki katika siasa na demokrasia? Nafikiri aseme ukweli alikosea kukubali jukumu hilo kwa mazingira ya sasa ndani ya Jumuiya. Kama waliweza kuikubalia Sudani Kusini kujiunga na Jumuiya kinyume kabisa cha matakwa ya 'Treaty' yake.
 
Burundi kwa sasa imetulia kiasi chake wameona haina haja ya usuluhishi kwa hiyo Mzee atulie tu mambo mengine Mungu anaingilia mwenyewe na kuyamaliza
 
Mzee lofa na mpumbavu sana yule.Analeta upendeleo na ubabe wake alidhani watamnyenyekea?He's to go to hell!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom