Mgogoro wa Bungeni Kushindikana, Kielelezo cha Kushindwa ya Wakulima na Wafugaji

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,794
71,212
Kuna migogoro ya wakulima na wafugaji ambao walianza kulumbana, kugombana na sasa wanauana huku serikali ikionyesha kushindwa kabisa kuzuia mauaji hayo.
Ukiangalia mgogoro uliopo bungeni juu ya Naibu spika na wabunge wa upinzani unapata picha kwa nini hili sakata la mauaji ya wakulima na wafugaji haliishi.
Hivi kwa nini bunge lina wenyeviti watatu? Wanachaguliwa kuongoza vikao vya bunge, lakini kwa vile kuna mgogoro (ambao unaweza kushughulikiwa) kati ya NS na wabunge kwa nini wenyeviti hawapewi nafasi ya kuongoza vikao bali NS mwenye mgogoro kaamua haachi nafasi ili wabunge wale watoke? Nchi inakosa uchangiaji muhimu kwa nini?
Yaani kiburi cha mtu mmoja kinasababisha haya yote?
Kihistoria ya bunge michango ya wabunge wa upinzani imekuwa muhimu sana na imekuwa ikitoa msaada mkubwa kwa serikali kurekebisha mambo kwa faida ya nchi na tunaikosa.
Hakuna wa kuliona hili hata ndani ya Bunge na kumwambia Naibu spika kuwa cheo chake hata kazi za ofisini zipo nyingi tuu na awaachie wenyeviti nchi inufaike?
Mgogoro wa wabunge utaishia kuwa kama wa wakulima na wafugaji siku sio nyingi. Au aliye muweka NS ndio kamwambia komaa hapo kwenye kiti kama uliyewekewa super glu?
 
Kuna migogoro ya wakulima na wafugaji ambao walianza kulumbana, kugombana na sasa wanauana huku serikali ikionyesha kushindwa kabisa kuzuia mauaji hayo.
Ukiangalia mgogoro uliopo bungeni juu ya Naibu spika na wabunge wa upinzani unapata picha kwa nini hili sakata la mauaji ya wakulima na wafugaji haliishi.
Hivi kwa nini bunge lina wenyeviti watatu? Wanachaguliwa kuongoza vikao vya bunge, lakini kwa vile kuna mgogoro (ambao unaweza kushughulikiwa) kati ya NS na wabunge kwa nini wenyeviti hawapewi nafasi ya kuongoza vikao bali NS mwenye mgogoro kaamua haachi nafasi ili wabunge wale watoke? Nchi inakosa uchangiaji muhimu kwa nini?
Yaani kiburi cha mtu mmoja kinasababisha haya yote?
Kihistoria ya bunge michango ya wabunge wa upinzani imekuwa muhimu sana na imekuwa ikitoa msaada mkubwa kwa serikali kurekebisha mambo kwa faida ya nchi na tunaikosa.
Hakuna wa kuliona hili hata ndani ya Bunge na kumwambia Naibu spika kuwa cheo chake hata kazi za ofisini zipo nyingi tuu na awaachie wenyeviti nchi inufaike?
Mgogoro wa wabunge utaishia kuwa kama wa wakulima na wafugaji siku sio nyingi. Au aliye muweka NS ndio kamwambia komaa hapo kwenye kiti kama uliyewekewa super glu?
Haya maneno ungemwambia Mbowe sasa hivi wataingia ndani wakuburudishe na muongozo, utaratibu, na taarifa ukiongeza na zomea zomea. Waliogoma ni wao watakaorudi ni wao. Hili bunge la sasa viongozi wake hawabembelezi mtu. Wamegoma kamati PAC na LAC mpaka leo hakuna mabadiliko zinaongozwa na makamu.
Naibu spika hana tatizo ndio maana hakuna wa kumuendea na kumshauri vinginevyo kwani itakuwa ni kumuonea.
Wenyeviti hufanya kazi ya kuwasaidia spika na naibu wake. Muda wa kazi za ofisini atafanya katibu na saa zisizo za vikao kwa saa chache.
Kesho kamati itawasilisha swala la Lugumi. Ni matumaini yangu chadema wataingia kujaribu kujiweka masikioni mwa watu kisiasa na misimamo yao na kusema uongo bungeni. Sasa hivi tunawasikia mahakamani tu.
Wasipoingia safari hii yaani kesho wajue kuwa wataingia baadhi vikao vya bunge la bajeti mwakani. Kama NS amekaa bungeni kwa siku zaidi ya thelathini bila kupumzika hata shindwa vikao vya wiki mbili mwezi wa Septemba Novemba na February. Chadema lazima wanyanyue mikono kwa kusema au kwa kukaa kimya bali tutaona matendo.
 
Haya maneno ungemwambia Mbowe sasa hivi wataingia ndani wakuburudishe na muongozo, utaratibu, na taarifa ukiongeza na zomea zomea. Waliogoma ni wao watakaorudi ni wao. Hili bunge la sasa viongozi wake hawabembelezi mtu. Wamegoma kamati PAC na LAC mpaka leo hakuna mabadiliko zinaongozwa na makamu.
Naibu spika hana tatizo ndio maana hakuna wa kumuendea na kumshauri vinginevyo kwani itakuwa ni kumuonea.
Wenyeviti hufanya kazi ya kuwasaidia spika na naibu wake. Muda wa kazi za ofisini atafanya katibu na saa zisizo za vikao kwa saa chache.
Kesho kamati itawasilisha swala la Lugumi. Ni matumaini yangu chadema wataingia kujaribu kujiweka masikioni mwa watu kisiasa na misimamo yao na kusema uongo bungeni. Sasa hivi tunawasikia mahakamani tu.
Wasipoingia safari hii yaani kesho wajue kuwa wataingia baadhi vikao vya bunge la bajeti mwakani. Kama NS amekaa bungeni kwa siku zaidi ya thelathini bila kupumzika hata shindwa vikao vya wiki mbili mwezi wa Septemba Novemba na February. Chadema lazima wanyanyue mikono kwa kusema au kwa kukaa kimya bali tutaona matendo.
Unadhani ni ufahari kushindwa kutatua migogoro kwenye mawazo kinzani? Ndio maana nimekuambia hata kushindwa migogoro kama wafugaji na wakulima wanashindwa na inaonekana ni kawaida.
Failure state
 
Unadhani ni ufahari kushindwa kutatua migogoro kwenye mawazo kinzani? Ndio maana nimekuambia hata kushindwa migogoro kama wafugaji na wakulima wanashindwa na inaonekana ni kawaida.
Failure state
Katika nchi huwezi kuimaliza migogoro. Kila mpango mzuri huzaa mgogoro na utatuzi ukipatikana hutengeneza mgogoro mwingine. Rejea Dialectic Materialism ya kina Karl Max. Utajua kuwa migogoro haitakwisha nchini cha msingi ni kuishughulikia.
 
Hili swali nimeliuliza mara kadhaa, nalirudia tena, je kuna sheria au kanuni iliyo vunjwa kwa NS kuongoza vikao mfulululizo? Kama hamna kwa nini mnalalamika?

Majina ya hao wenyeviti wanaopigiwa chapuo ni yapi? kwa nini?
 
Back
Top Bottom