Mgogoro Visiwani, Tumbatu Vs Unguja Vs Pemba

Zanzibar-Nyamwezi

JF-Expert Member
Jun 11, 2013
1,244
729
Juzi Wananchi wa Kisiwa kidogo chenye msimamo mkali usio wa kidini Tumbatu, wameupeleka pahala pengine mgogoro wao na watu toka Unguja, wameanza kuchoma boti za Waunguja Baharini, wanempiga marufuku mtu yeyote akiwemo mkuu wa Mkoa kaskazini kutua kisiwani. Serikali imeweza kuwazuia Waunguja waliokuwa wamejiandaa kivita wakiwa tayari kuvuka kutetea vyombo vya kuchomwa.
Swala hilo limemuumiza kichwa Rais wa Visiwa vyote, duru za watu juu zinasema kwamba Rais anaandaa tume kubwa kabisa ya usuluhishi.
UNGUJA VS PEMBA. Baadhi ya viongozi wakiwemo wajumbe wengi wa Baraza na Wawakilishi wameatika Serikali ipunguze uwepo wake Pemba kuokoa gharama kwa kisiwa ambacho kila siku kinabaki kitupu, Wabunge na Wawakilishi huko wanapigiwa kura 2000 tu kwa jimbo. Wamedai zaidi kuwa kama sivyo basi Pemba ijilipie gharama zake, kwa maana ya ijitenge ijiamulie.
Hii taarifa ni ya uhakika.
 
Hizi ni kazi za kutengeneza za Interahamwe ili kuhalalisha ajenda yao ya Serikali mbili. Same old trick! Mbinu hizi za kizamani haziwezi kufanya kazi leo. Kila zama, na Kitabu chake!
 
Hayo
ndio matokeo ya ku2mia njaa ili kuikantrol akili yako, badala ya ku2mia
akili ukaikartol njaa yako, 2mewaona wapemba wakiji2kana wenye wao
kwenye bunge la katiba, ex muwakilish wa raha leo mama na baba ake wote
ni wapemba wakengeja kindakindaki ni mabimani, lakin aliendekeza njaa kwenye BLK eti yeye ni mhadimu kaja unguja kwa wahadimu wenzake, Asha mtama(bakari).
 
Juzi Wananchi wa Kisiwa kidogo chenye msimamo mkali usio wa kidini Tumbatu, wameupeleka pahala pengine mgogoro wao na watu toka Unguja, wameanza kuchoma boti za Waunguja Baharini, wanempiga marufuku mtu yeyote akiwemo mkuu wa Mkoa kaskazini kutua kisiwani. Serikali imeweza kuwazuia Waunguja waliokuwa wamejiandaa kivita wakiwa tayari kuvuka kutetea vyombo vya kuchomwa.
Swala hilo limemuumiza kichwa Rais wa Visiwa vyote, duru za watu juu zinasema kwamba Rais anaandaa tume kubwa kabisa ya usuluhishi.
UNGUJA VS PEMBA. Baadhi ya viongozi wakiwemo wajumbe wengi wa Baraza na Wawakilishi wameatika Serikali ipunguze uwepo wake Pemba kuokoa gharama kwa kisiwa ambacho kila siku kinabaki kitupu, Wabunge na Wawakilishi huko wanapigiwa kura 2000 tu kwa jimbo. Wamedai zaidi kuwa kama sivyo basi Pemba ijilipie gharama zake, kwa maana ya ijitenge ijiamulie.
Hii taarifa ni ya uhakika.


Huo ni mwanzo wa kile ambacho serikali inakipuuzia sasa. Muda si mrefu ujao, kama SMZ haitaacha ule ujinga wa kuitoa CUF kwenye SUK, kinachofuatia kinaweza kuwa ni Pemba kudai uhuru wake kutoka Unguja, hasa ukizingatia hakuna ushahidi wala makubaliano kuwa Pemba iliwahi kuungana na Unguja.

Kwa wenye akili wanatakiwa wazitumie kuunusuru Muungano, kama wanavyodai wanaupenda. Ila kwa kuwa wanajitia "hamnazo" wataendelea na chokochoko za kijinga, halafu waone pakifuka moshi huwa kinafuata nini!
 
Mleta mada kaanza ugua kipindupindu

Huyu mtoa mada iyo tumbatu sijui kamaa anaijua, hana la kusema anaongea tu na bahati nzuri watumbatu wengi sio watu wa mitandaoni lakini wangekuja hapa wakakanusha madai ya mtoa mada
 
Juzi Wananchi wa Kisiwa kidogo chenye msimamo mkali usio wa kidini Tumbatu, wameupeleka pahala pengine mgogoro wao na watu toka Unguja, wameanza kuchoma boti za Waunguja Baharini, wanempiga marufuku mtu yeyote akiwemo mkuu wa Mkoa kaskazini kutua kisiwani. Serikali imeweza kuwazuia Waunguja waliokuwa wamejiandaa kivita wakiwa tayari kuvuka kutetea vyombo vya kuchomwa.
Swala hilo limemuumiza kichwa Rais wa Visiwa vyote, duru za watu juu zinasema kwamba Rais anaandaa tume kubwa kabisa ya usuluhishi.
UNGUJA VS PEMBA. Baadhi ya viongozi wakiwemo wajumbe wengi wa Baraza na Wawakilishi wameatika Serikali ipunguze uwepo wake Pemba kuokoa gharama kwa kisiwa ambacho kila siku kinabaki kitupu, Wabunge na Wawakilishi huko wanapigiwa kura 2000 tu kwa jimbo. Wamedai zaidi kuwa kama sivyo basi PembaKwa ijilipie gharama zake, kwa maana ya ijitenge ijiamulie.
Hii taarifa ni ya uhakika.

Hali hii ni hatari tabia ya kila siku kuita wapemba,waunguja,wapemba mtakwenda kwenu wapi?, kwa taarifa visiwa vyote watawala walitoka Iran katika mji wa washiraz
 
Juzi Wananchi wa Kisiwa kidogo chenye msimamo mkali usio wa kidini Tumbatu, wameupeleka pahala pengine mgogoro wao na watu toka Unguja, wameanza kuchoma boti za Waunguja Baharini, wanempiga marufuku mtu yeyote akiwemo mkuu wa Mkoa kaskazini kutua kisiwani. Serikali imeweza kuwazuia Waunguja waliokuwa wamejiandaa kivita wakiwa tayari kuvuka kutetea vyombo vya kuchomwa.
Swala hilo limemuumiza kichwa Rais wa Visiwa vyote, duru za watu juu zinasema kwamba Rais anaandaa tume kubwa kabisa ya usuluhishi.
UNGUJA VS PEMBA. Baadhi ya viongozi wakiwemo wajumbe wengi wa Baraza na Wawakilishi wameatika Serikali ipunguze uwepo wake Pemba kuokoa gharama kwa kisiwa ambacho kila siku kinabaki kitupu, Wabunge na Wawakilishi huko wanapigiwa kura 2000 tu kwa jimbo. Wamedai zaidi kuwa kama sivyo basi Pemba ijilipie gharama zake, kwa maana ya ijitenge ijiamulie.
Hii taarifa ni ya uhakika.

mmh!! Ujinga mwengine hauna maana, au ndio Pombe za maIntetahamwe?
hizo kasumba kawapandikize wanyamwezi wenzio wasioijua Zanzibar zaidi ya kuisikia radioni ama magazetini, kwanza Kama huijui Tumbatu waulize wanaojuwa, kule hakuna upuuzi huo unaofikiria wewe....
 
Huo ni mwanzo wa kile ambacho serikali inakipuuzia sasa. Muda si mrefu ujao, kama SMZ haitaacha ule ujinga wa kuitoa CUF kwenye SUK, kinachofuatia kinaweza kuwa ni Pemba kudai uhuru wake kutoka Unguja, hasa ukizingatia hakuna ushahidi wala makubaliano kuwa Pemba iliwahi kuungana na Unguja.

Kwa wenye akili wanatakiwa wazitumie kuunusuru Muungano, kama wanavyodai wanaupenda. Ila kwa kuwa wanajitia "hamnazo" wataendelea na chokochoko za kijinga, halafu waone pakifuka moshi huwa kinafuata nini!

Wewe na huyo mlevi mwenzio nyote , hamjui mulisemalo.... huijui Pemba, Unguja seuze Tumbatu....laana iwe juu yenu mainterahamwe!!! hizo propaganda hazina nafasi tena
 
Wewe na huyo mlevi mwenzio nyote , hamjui mulisemalo.... huijui Pemba, Unguja seuze Tumbatu....laana iwe juu yenu mainterahamwe!!! hizo propaganda hazina nafasi tena

Yaani wala hata hujakaribia kuelewa nilikuwa nasema nini! Hata hivyo siyo neno, wakti ukiwadia utaanza kuelewa ukiona yanatukia. Nadhani wakti huo ukifika, utaelewa kuwa miye hata harufu ya intarahamwe sina wala siwapendi!
 
Yaani wala hata hujakaribia kuelewa nilikuwa nasema nini! Hata hivyo siyo neno, wakti ukiwadia utaanza kuelewa ukiona yanatukia. Nadhani wakti huo ukifika, utaelewa kuwa miye hata harufu ya intarahamwe sina wala siwapendi!

Wewe una kila alama za Uinterahamwe, na hayo uloyasema katu hatuwezi kukunasibisha na wale wazalendo wa Zanzibar kama ubavyodai kujifanya, Zanzibar hatujawahi kusikia mapambano hayo unayijidai kuyahofia tokea asili walikuwa wamoja na wataendelea kuwa hivyo....
siasa za uintarahamwe hazidaidii kuzima nguvu ya upeppo wa mabadiliko,
Jiandae kukaribisha Tanganyika yako,
 
Wewe una kila alama za Uinterahamwe, na hayo uloyasema katu hatuwezi kukunasibisha na wale wazalendo wa Zanzibar kama ubavyodai kujifanya, Zanzibar hatujawahi kusikia mapambano hayo unayijidai kuyahofia tokea asili walikuwa wamoja na wataendelea kuwa hivyo....
siasa za uintarahamwe hazidaidii kuzima nguvu ya upeppo wa mabadiliko,
Jiandae kukaribisha Tanganyika yako,


Naona wewe una yako kichwani. Kwa taarifa yako miye wala siyo Mzanzibari. Na kama ulidhani Utanganyika kwangu ni aibu umekosea kwani naona italeta maana kuwa na Tanganyika rasmi. Ila narudia. Hujaelewa hata chembe nililosema. Ungeelewa wala usingesema hayo!

Unaonaje badala ya kuzozana na mimi kwa usilolielewa , ungetafuta aliyekuzidi kidogo akueleweshe? Wala sioni unachopigia kelele hapo!
 
Naona wewe una yako kichwani. Kwa taarifa yako miye wala siyo Mzanzibari. Na kama ulidhani Utanganyika kwangu ni aibu umekosea kwani naona italeta maana kuwa na Tanganyika rasmi. Ila narudia. Hujaelewa hata chembe nililosema. Ungeelewa wala usingesema hayo!

Unaonaje badala ya kuzozana na mimi kwa usilolielewa , ungetafuta aliyekuzidi kidogo akueleweshe? Wala sioni unachopigia kelele hapo!

kinachonifanya nipige kelele, ni kile ulichoandika kwenye post yako ya mwanzo, Wew sio Mzanzibar hiyo SUK ina kuhusu nini...? na kwanin unapigania CUF watolewe kwenye SUK ambayo mim na wew haituhusu...? hivi kwamba Wazanzibar wenyewe ndio waliyochagua mfumo huo kwa kura zao..? huu ndio uinterahamwe niliolusudia kwako, ya Zanzibar tuwaachie wenyewe, Kama mapigano huku kwetu yamejaa tele kila kukicha watu huuwana, au hujasikia mapigano ya wakulima na wafugaji yakitokea...? sasa sijaona umuhimu wa kufikiria fitina kwa wenzio wakati nyumbani zimejaa tele... huo ndio uinterahamwe!!
 
kinachonifanya nipige kelele, ni kile ulichoandika kwenye post yako ya mwanzo, Wew sio Mzanzibar hiyo SUK ina kuhusu nini...? na kwanin unapigania CUF watolewe kwenye SUK ambayo mim na wew haituhusu...? hivi kwamba Wazanzibar wenyewe ndio waliyochagua mfumo huo kwa kura zao..? huu ndio uinterahamwe niliolusudia kwako, ya Zanzibar tuwaachie wenyewe, Kama mapigano huku kwetu yamejaa tele kila kukicha watu huuwana, au hujasikia mapigano ya wakulima na wafugaji yakitokea...? sasa sijaona umuhimu wa kufikiria fitina kwa wenzio wakati nyumbani zimejaa tele... huo ndio uinterahamwe!!

Ndiyo maana nikakwambia hujanielewa na tunazozana bila sababu.

Kwanza kwenye posti yangu sijapigania CUF itolewe SUK, nimepigania SMZ isiingizwe mkenge wa kujaribu kuitoa CUF kwenye SUK kwani, iktolewa hali ya amani ya Zanzibar inaweza kuwa mbaya, na nimetoa angalizo kuwa huenda baada ya muda Pemba ikadai nayo kujitenga.

Pili, kwamba kwa kuwa mimi siyo Mzanzibar, SUK hainihusu lolote?.......Mtoa mada hakusema posti hii ni kwa Wazanzibari tu. Vinginevyo angeibandika kwenye vibao vya Zenji, wala miye Mtanganyika nisingeiona wala kuichangia. Sasa sioni tatizo hapa ni mimi au wewe!

Tatu, hakuna anayedai mapigano yamezidi kwenu, au huku hayapo. Ila kwa binadamu anayejua nini maana ya utu, kamwe hawezi kunyamaza pale amani ya sehemu inapokuwa mashakani. hasa kama anaweza kutoa ushauri mapema. Na kama unadhani majirani wakiwa na matatizo wewe ukikaa kimya ndiyo yanakuwa hayakuhusu, unajidanganya. Zanzibar ikichafuka majirani nao wanaathirika. Hii ni kawaida.

Nne, nadhani mpaka sasa hujajua maana ya intarahamwe, nakushauri, aidha kasome historia ya Rwanda vizuri, au muulize Ibrahim Lipumba alikuwa na maana gani. Nadhani hata maana aliyokuwa nayo Ibrahimu inaeleweka kuliko yako.

Nasisitiza, karudie kusoma posti na uielewe, au tafuta mtu akueleweshe. Vinginevyo nadhani kwa sasa inatosha kubishania kitu kisichokuwepo.
 
Hizi ni kazi za kutengeneza za Interahamwe ili kuhalalisha ajenda yao ya Serikali mbili. Same old trick! Mbinu hizi za kizamani haziwezi kufanya kazi leo. Kila zama, na Kitabu chake!

Mbona hii ni kazi ya Ukawa kupitia fuata upepo wa Chadema.
 
Juzi Wananchi wa Kisiwa kidogo chenye msimamo mkali usio wa kidini Tumbatu, wameupeleka pahala pengine mgogoro wao na watu toka Unguja, wameanza kuchoma boti za Waunguja Baharini, wanempiga marufuku mtu yeyote akiwemo mkuu wa Mkoa kaskazini kutua kisiwani. Serikali imeweza kuwazuia Waunguja waliokuwa wamejiandaa kivita wakiwa tayari kuvuka kutetea vyombo vya kuchomwa.
Swala hilo limemuumiza kichwa Rais wa Visiwa vyote, duru za watu juu zinasema kwamba Rais anaandaa tume kubwa kabisa ya usuluhishi.
UNGUJA VS PEMBA. Baadhi ya viongozi wakiwemo wajumbe wengi wa Baraza na Wawakilishi wameatika Serikali ipunguze uwepo wake Pemba kuokoa gharama kwa kisiwa ambacho kila siku kinabaki kitupu, Wabunge na Wawakilishi huko wanapigiwa kura 2000 tu kwa jimbo. Wamedai zaidi kuwa kama sivyo basi Pemba ijilipie gharama zake, kwa maana ya ijitenge ijiamulie.
Hii taarifa ni ya uhakika.

Imeletwa na mnyamwezi, uhakika utatokea wapi? Izo story za paukwa na pakawa kazipeleke kisonge, maana story haieleweki, sasa tumbatu wamechoma boti za pemba au za unguja pale mkokotoni? Au pemba ndio waliochoma moto izo boti? Kati ya hawa ulowataja mmoja hahusiki bali ni kutaka kueneza unyamwezi tu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom