Mgogoro na Malawi: CIA NA Chevron wako ndani ya Malawi

Hivi inaingia akili kwamba OBAMA anaweza kuruhusu CIA kuihujumu TANZANIA - kumbuka CIA sio a Govt within a Govt lazima ipate kibari kutoka kwa OBAMA katika operations zao zote bila kujali kama ni covert au overt!!

Watu wanasahau kwamba wakati OBAMA alipo ingia IKULU kwa mara ya kwanza alitaka kuwa na mazungumzo na Marais kutoka Africa - ni RAIS wawili tu walio karibishwa IKULU ya Merikani kutoka Africa, mmoja wao alikuwa ni Mh.Jakaya M. Kikwete na mwingine alitoka Africa magharibi (Ghana kama sikosei) sasa ukaribu wa administration ya OBAMA na Jakaya unawezaje kugeuzwa uhasama; mambo mengine tunapaswa kuyatafakali kwa kina kabla hatuja anza kuhukumu watu!!

Kitu kingine, hivi kweli mtu unaweza kulinganisha utajiri wa natural resources za Tanzania na MALAWI? ni kitu gani kikubwa sana kinacho weza kuwavutia Chevron kwenda Malawi kwa madhumuni ya kuchonganisha Tanzania na Malawi wakati hawajuhi prospects za mafuta ndani ya ziwa Nyasa ni za ukubwa gani i.e kuwa commercially exploited!

Kwa maoni yangu kampuni ya Chevron has a lot to gain from TANZANIAN vast natural resources than Malawi na hilo wanalijuwa SANA, kama nakumbuka vizuri niliwahi kusoma somewhere kwamba Chevron ilipewa vitaru vya kutafuta mafuta ndani ya TANZANIA. Mimi nafikili wakati mwingine tusiwe tunaonyesha kwamba tuko overly worried kwa mambo yanayo endela MALAWI, Tanzania sio a lame DUCK.

kwenye nyekundu. uhasama huu ulichochewa pale tanzania iliipozisaidia meli za mafuta za iran kupita baharini kwa kutumia bendera zake.........

wachilia mbali nia ya tanzania kutaka mashirikiano zaidi na irani....... mpaka kutamani kuimpa uranium ambayo ndio mzozo wake na wakubwa!
 
wazee vp. . Mnaona vita ni kama kuoga na kuvaa nguo au kunyanga'nywa mpaka ni ni sawa na kula kyepe kikavu wakati huna manje, HAPANA.! ts nt tht easy. . Leta source acha Porojo.!
 
Na Imani TZ ina majasusi wa uhakika Urusi yenyewe INA TAMBUA tz ni nan.....so najua Serikali yetu kama kutakuwa na madhara ya hao jama basi watayapata haraka kama mpango wa Vita wa IDD Amin
 
wazee vp. . Mnaona vita ni kama kuoga na kuvaa nguo au kunyanga'nywa mpaka ni ni sawa na kula kyepe kikavu wakati huna manje, HAPANA.! ts nt tht easy. . Leta source acha Porojo.!

war is like a monster … you hear about it but sometime you dont believe it exists
until it finally grabs you by the throat. remember wars begins with simple exchange of words..
 
Nionavyo mimi, sasa hivi Tanzania ikiingia vitani uwezekano wa kushinda ni mdogo sana pamoja na kuwekeza sana katika jeshi. Vita inashindwa si kwa kuwa na technologia na askari wasomi pekee. Sasa hivi Tanzania haina ule mshikamano wa ki kweli kama enzi za Mwalimu nyerere. Watu wamegawanyika kwa misingi ya kidini, kiitikadi za siasa, ki matabaka ya watawala dharimu na watawaliwa wanyonge na uwezo wa kifedha kwamba matajiri ndio serikali inawalinda na kuwapalilia wakati maskini anaachwa kama salama dog. Kusema vita ikianza tofauti hivyo zitamalizika automatically ni ndoto kwa sababu watu wengi wanamajeraha moyoni. Majeeraha hayo hayajatibiwa yanazidi kutafuna uzalendo wa watu. Uchungu na utaifa umeondoka miongoni mwa wananchi walio wengi kutokana na kukosekana kwa utawala bora ktika ngazi zote za vijiji hadi taifa. If people are suffering unreasonably in their own land, their hearts are full of bitterness against the Government and rulers do not expect them to offer genuine supports at war.

Kama serikali inataka kuingia vitani na Malawi (nchi ndogo) ianze kwanza kuagua vidonda vya wa - Tz ikiwa ni pamoja na kuacha unafiki wa kisiasa, kulinda matabaka ya mafisadi huku wananch wakiteketkea bila mwelekeo wa kesho yao, kuwalipa askari waliopigana vita vya dunia na Uganda ambao wanasota hadi sasa, kuacha unafiki na kuwa na dhamira ya kweli ya kukomesha uonevu kwa wanyonge na kuwaunganisha Wa TZ pamoja. Kinyume cha pale watu wataona ni afadhari ajipatie maslahi yake kwa hila kama vile vile watawala wetu wanavyofanya bila kujali, kuliko kusaidia Serikali na taifa lisilo na manufaa kwao zaidi ya kuwatoza kodi za kula mafisadi wanaolindwa na serikali.

Vita siyo taarabu wala mchezo wa bao.
 
.........nilichosoma kwa watu wengi waliochangia pamoja na aliyeanzisha nyuzi hii hata wake waliooa (kwa waliooa) wanaweza kuwa wameolea watu tu, ni waoga, wanaweza kuwaachia waliowatisha, hata hawawezi kupigania walichonacho potelea mbali wanachokiamini, naweza nisieleweke sana, lakini sio muhimu sana kama ni kwa aina ya watu kama hawa, MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA
 
Jamani mambo on ground ni tofauti na tunavyoyaongela humu JF. Tayari meli moja ya malawi ni sehemu ya mchanga wa ziwa nyasa. Wanaume wapo kule wanasikilizia. Tatizo mama Banda anatafuta umaarufu ili aje ashinde uchaguzi tena. Si unajua hakuchaguliwa. Wamalawi wenyewe wanasema ni acting president
 
jamani mambo on ground ni tofauti na tunavyoyaongela humu jf. tayari meli moja ya malawi ni sehemu ya mchanga wa ziwa nyasa. Wanaume wapo kule wanasikilizia. tatizo mama banda anatafuta umaarufu ili aje ashinde uchaguzi tena. Si unajua hakuchaguliwa. Wamalawi wenyewe wanasema ni acting president

mkuu r u serious?...kwamba men in uniform tayari weshazamisha boti moja ya mama rais anayeshikilia kwa muda..... Nilijuwa tuuu. Tuko vizuri kwenye propaganda na kufanya kweli....

Huyu mama hata uchumi sijui hajasoma...hawa tukizuia mizigo yao kupita bandari kwetu tayari wanalo..achilia mbali kuwapelekea chakula toka kyela/mbeya...usisahau main river inayofeed ziwa nyasa inatoka tanzania...tunaweza kujenga man-made lake tukamaliza jeuri yake bila hata mtutu wa bunduki.

Tukikausha ziwa nusu ya wamalawi watahamia tanzania then tunakuwa na human resource ya kutosha....yeye anaishiwa watu anabaki mwenyewe... Pumbavu mwanamke mjinga kama huyu mama wa malawi anaibomoa nyumba yake kwa mikono yake..cursed are the days she was born.
 
Hamjaziona zinaruka leo hapa Dar? au mnazani ni za abiria? (Mpyaaaa). The war is around

mkuu r u serious?...kwamba men in uniform tayari weshazamisha boti moja ya mama rais anayeshikilia kwa muda..... Nilijuwa tuuu. Tuko vizuri kwenye propaganda na kufanya kweli....

Huyu mama hata uchumi sijui hajasoma...hawa tukizuia mizigo yao kupita bandari kwetu tayari wanalo..achilia mbali kuwapelekea chakula toka kyela/mbeya...usisahau main river inayofeed ziwa nyasa inatoka tanzania...tunaweza kujenga man-made lake tukamaliza jeuri yake bila hata mtutu wa bunduki.

Tukikausha ziwa nusu ya wamalawi watahamia tanzania then tunakuwa na human resource ya kutosha....yeye anaishiwa watu anabaki mwenyewe... Pumbavu mwanamke mjinga kama huyu mama wa malawi anaibomoa nyumba yake kwa mikono yake..cursed are the days she was born.
 
Tungelikuwa na ela tungeanza block mito yote inayomwaga maji lake Nyasa kama kiwila mbaka songwe lufilyo etc
Ili huyu mama ajue kuwa we are serious on what we believe in
 
Haya bana, yetu macho na masikio, ngoja tusubiri tuone hii makitu itashaje!
 
Huyu mama is not a reason enough ya kutangaza vita hadharani. Watu wanaendelea na maisha. Akileta fyoko kimya kimya vitu vinalamba mchanga. Ulizia Ileje kama unachanzo cha info kule watakupa zaidi. Wanaume wanapokezana. Mpaka ulio katika ya ziwa unalindwa vibaya sana. Maximum security. waliobip tayari wapo heaven
 
Huyu mama is not a reason enough ya kutangaza vita hadharani. Watu wanaendelea na maisha. Akileta fyoko kimya kimya vitu vinalamba mchanga. Ulizia Ileje kama unachanzo cha info kule watakupa zaidi. Wanaume wanapokezana. Mpaka ulio katika ya ziwa unalindwa vibaya sana. Maximum security. waliobip tayari wapo heaven

Kwenye red mkuu naona umechukua nafasi ya Mwenye Mamlaka ya Dunia nzima.
 
Back
Top Bottom