Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Wadau hii sijaielewa vyema nhisi kama ni upotevu wa pesa, na kwanini mtu awe na ID mbili?
" Khatib alitaka kujua umuhimu wa vitambulisho hivyo na vile vya Zanzibar ambavyo Wazanzibari wamekuwa wakivitumia kwa muda mrefu"
"Akijibu hilo, Maimu alisema vitambulisho vya Zanzibar ni vya ukaazi na hivi vya taifa ni vya utaifa hivyo, Wazanzibari wote watapaswa kuwa navyo ili kutambulika."
sosi: Vitambulisho vya Taifa: Kamati ya Lowassa yataka maelezo ya vyeti feki
" Khatib alitaka kujua umuhimu wa vitambulisho hivyo na vile vya Zanzibar ambavyo Wazanzibari wamekuwa wakivitumia kwa muda mrefu"
"Akijibu hilo, Maimu alisema vitambulisho vya Zanzibar ni vya ukaazi na hivi vya taifa ni vya utaifa hivyo, Wazanzibari wote watapaswa kuwa navyo ili kutambulika."
sosi: Vitambulisho vya Taifa: Kamati ya Lowassa yataka maelezo ya vyeti feki