Mgogoro mkubwa waikumba CHADEMA kwenye kumpata mgombea ubunge Jimbo la Arumeru

Heshima kwako Mkuu Ngongo.
Tatizo Pro-Chadema JF hawataki kukosolewa hawajui kama ukitaka kusonga mbele lazima ukubali kukosolewa.
Kukosolewa na mtu mwenye hila kama wewe sio sahihi. Kwanza taarifa jinsi ulivyo iweka hapa inaashilia nia yako mbaya. Wenyewe gazeti la mwananchi walioitoa hawakuikuza kama ulivyofanya wewe, halafu wewe umeiweka hapa kana kwamba wewe ndio uliyeifanyia uchunguzi! ritz, tunakufahamu wewe kuwa ni mlamba viatu vya ccm na hivyo huna lolote la maana kwa CHADEMA zaidi ya uchuro.
 
...CDM ukitangaza nia watu wenye mapenzi mema na waopenda kuuona ukombozi nakuchangia ukawakomboe...CCM ukitangaza nia wana.m.a.g.a.b.a wanasubiri kupokea takrima ili waendelee kuibiwa...
 
Mtoa mada hajui maana ya mgogoro
Tafuta kamusi ujue mgogoro ni nini.
Hayo yanayotokea ni mchakato tu wa kumtafuta tu
Kama una nia ya kuwapumbaza magamba hapo sawa.
 
Heshima kwako CPA nikubaliane na wewe kwa silimia za kutosha kuwa ni kweli mgogoro si mkubwa na hata mleta hoja Bwana Ritz hakuuweka katika namna ya kuonesha kuwa mgogoro ni kubwa ila sisi wachangiaji ndio tunaopelekea mgogoro huo kuonekana mkubwa. Na hilo tatizo ulilolisema haswa ndilo linaloleta haya yote manake kitendo hicho kimsingi kimekiuka taratibu za kiutendaji ndani ya Chama manake akiulizwa muhusika hizo hela alizopewa ni za nini jibu sijui litakuwa lipi. Manake kama CDM wangekuwa na Kampeni za ndani kutafuta mgombea walau justification zingepatikana.

Lakini CPA in politics ili mgogoro uwe mdogo pia lazma tuangalie tunatumia vigezo gani manake lile tatizo wewe unaloliona ni dogo ndilo wenzio watalitumia kama loophole kukuattack hivyo ili huu mgogoro uonekane mdogo wahusika hawana budi kulitolea tamko ili na wale wagombea wengine wajue si kwamba tu wametendewa haki bali wameona hiyo haki imetendeka.....
Usituchoshe na utetezi wako fyongo, jaribu kusoma kichwa cha 'thread' hii tena.
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.


“Don’t expect to get honey from flies”.
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.

hivi kwa nini usimsaidia babako kupambana na mafisadi unahangaika kushoto kulia as if kibibnti kilichovunja ungo..
 
siku hizi nakuona unabadilika taratibu unajaribu kuwa subjective tatizo dogo kwenye uzi huu umekuza mno kuwa kuna mgogoro ili hali halisi ukubwa wa mgoror wenyewe nw impact zake hadi sasa

kimsingi hayo aliyo yatendeka Joshua na kama viongozi wanampa ushirikiano zaidi yeye kuliko wengine hili ni tatizo
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.

[KAMA PETE YA DHAHABU PUANI MWA NGURUWE] Ndivyo ilivyo ushauri au taarifa yeyote ile iwe mzuri au mbaya inapotoka ktk kinywa cha mtu wa aina ya Ritz,Rejao,Faiza foxy,Malaria sugu, Ami na aina ya watu wengine wa namna hii!!. Ukweli uko wazi na majibu kwenye hilo gazeti yametolewa kuwa kila mtu ana uhuru kushirikisha mwarafiki nia yake mradi asivunje sheria wala katiba ya chama.
Hata wengine wamefanya mengi tu zaidi ya hayo na ushahidi wake unajulikana, tunachojua ni kwamba kwenye Chadema wamemwagwa mamluki kibao toka ccm na baadhi ya watu wenye njaa wenye asili yna uzao wa ccm ili waharibu. Na kusudi ni baada ya kuona Nassary ana ushawishi na mvuto mkubwa kwa wapiga kura wa Arumeru mashariki, hayo anayosema Rejao na wenzake akina Tendwa ni baadhi tu ya mipango ambayo imepangwa kumhujumu Nassary, sasa Chadema wako makini maana kwa wanavyofanya hivi maadui Chadema inawapa mwangaza zaidi kuwa kuna nini? Chadema hawawezi mpitisha mamluki, ijapokuwa mpaka sasa hatujajua ni nani atapitishwa. Chadema siyo CCM wala Ritz na wenzake. Take care Ritz na mwenzio Tendwa Hii ni Meru na itajengwa na Wameru siyo maneno ya kimipasho:peace:
 
Mkuu hizi habari nimekua nazisikia kwamba Nasari anabebwa na CDM Taifa. Kuna haja uongozi taifa,mkoa na wilaya wakutane haraka na kuondoa tofauti zinazoanza kujitokeza. Kadri CDM inavyopata umarufu migongano kama hii itajitokeza sana. Uongozi ngazi zote wawe tayari kutumia
busara kumaliza tofauti kama hizi.

Hakuna kitu kama hicho,Nassary anakubalika na kila mtu wa Meru, msiende mbali sana mimi ni Mmeru na nimefanya utafiti wa kutosha, sasa kwa sababu hiyo kuna wagombea baadhi wameamua kwenda kwa Magamba angalau waambulie chochote ili waharibu maana hata hivyo kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya Waliojitokeza kuomba kuteuliwa waliotafutwa na CCM ili wakipita iwawie rahisi wao CCM kuchukua jimbo. Hofu kubwa kwa CCM ni juu ya Joshua Nassary kuwa akipitishwa ccm hawana lao hapa. Karibuni Meru ila mje mkiwa wapole maana tayari Mbunge wa Meru aliye mioyoni mwa Wameru anajulikana toka kitambo.:peace: Mkija na mtu wenu tunamrudisha speed.
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.

you've never been relible source mazee
 
Hakuna kitu kama hicho,Nassary anakubalika na kila mtu wa Meru, msiende mbali sana mimi ni Mmeru na nimefanya utafiti wa kutosha, sasa kwa sababu hiyo kuna wagombea baadhi wameamua kwenda kwa Magamba angalau waambulie chochote ili waharibu maana hata hivyo kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya Waliojitokeza kuomba kuteuliwa waliotafutwa na CCM ili wakipita iwawie rahisi wao CCM kuchukua jimbo. Hofu kubwa kwa CCM ni juu ya Joshua Nassary kuwa akipitishwa ccm hawana lao hapa. Karibuni Meru ila mje mkiwa wapole maana tayari Mbunge wa Meru aliye mioyoni mwa Wameru anajulikana toka kitambo.:peace: Mkija na mtu wenu tunamrudisha speed.

Mkuu, acha siasa za ukabila ni sumu mbaya kwa taifa letu, kama wewe ni Mmeru basi unataka lazima mbunge awe Mmeru? Katiba yetu inatakataza kubaguana kwa matabaka mkuu.
 
[KAMA PETE YA DHAHABU PUANI MWA NGURUWE] Ndivyo ilivyo ushauri au taarifa yeyote ile iwe mzuri au mbaya inapotoka ktk kinywa cha mtu wa aina ya Ritz,Rejao,Faiza foxy,Malaria sugu, Ami na aina ya watu wengine wa namna hii!!. Ukweli uko wazi na majibu kwenye hilo gazeti yametolewa kuwa kila mtu ana uhuru kushirikisha mwarafiki nia yake mradi asivunje sheria wala katiba ya chama.
Hata wengine wamefanya mengi tu zaidi ya hayo na ushahidi wake unajulikana, tunachojua ni kwamba kwenye Chadema wamemwagwa mamluki kibao toka ccm na baadhi ya watu wenye njaa wenye asili yna uzao wa ccm ili waharibu. Na kusudi ni baada ya kuona Nassary ana ushawishi na mvuto mkubwa kwa wapiga kura wa Arumeru mashariki, hayo anayosema Rejao na wenzake akina Tendwa ni baadhi tu ya mipango ambayo imepangwa kumhujumu Nassary, sasa Chadema wako makini maana kwa wanavyofanya hivi maadui Chadema inawapa mwangaza zaidi kuwa kuna nini? Chadema hawawezi mpitisha mamluki, ijapokuwa mpaka sasa hatujajua ni nani atapitishwa. Chadema siyo CCM wala Ritz na wenzake. Take care Ritz na mwenzio Tendwa Hii ni Meru na itajengwa na Wameru siyo maneno ya kimipasho:peace:

Mkuu ni ushauri tu unaweza kuufuata au kuuacha.
 
Mkuu, acha siasa za ukabila ni sumu mbaya kwa taifa letu, kama wewe ni Mmeru basi unataka lazima mbunge awe Mmeru? Katiba yetu inatakataza kubaguana kwa matabaka mkuu.

Kuna watu wakabila kama nyie? Kumbuka mlichomtuma Tendwa.
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.
brother nilikutafuta sana kwenye ile thread ya picha za kusikitisha za wagonjwa pale muhimbili baada ya mgomo wa madaktari
 
mimi bado nna imani na gazeti la mwananchi, na si tanzania daima. habari leo uhuru nk. ambayo yapo dhahiri kisiasa, so kama kuna mwana cdm makini atoe ufafanuzi wa kua kwenye hili jukwaa sio kumdhihaki mtoa mada.
 
Source plz!!!!

Lakini nashangaa kwanini watu hawaelewi,kwani Nasari katoa rushwa au watu wamempa hela,nadhani watu wamempa hela kwaajili ya mapenzi yao kwake...mimi sishangai watu kumpa ushirikiano Nasari,ni kitu cha kawaida kama wao hawapati ushirikiano ina maana kuwa hawakubaliki kama wagombea...na watuambie kuwa hawapati ushirikiano toka kwa nani...kama ni kwa wanachama na wapenzi wa CDM ni kweli,wengi wanamtaka JOSHUA NASARI...may be kama hawapati ushirikiano kwa uongozi naweza nikasema kuwa hilo ni tatizo na halipaswi kuonekana....vinginevyo wewe mleta uzi tupe source na usilete siasa za CCM ukadhani na sisi ni watu wanaotamani madaraka kama huko kwa majambazi....

100% naunga mkono hoja!
 
Tatizo la Pro-Chadema JF ndio ili, badala ya kujibu hoja wanaleta porojo kwenye mambo ya msingi.

Mbona migogoro ya CCM, NCCR Mageuzi, CUF, mnaijadili kwa kasi ya ajabu, kubalini ukweli Arumeru kuna mgogoro.

Ritz vipi hali? Wakati mwingini punguza kutia chumvi nyingi. Unaposema ''mgogoro mkubwa'' unatisha maana kutofautiana huko hawa majamaa hata balozi wa nyumba 10 wa cdm anaweza akasuluisha na mapambano dhidi ya mafisadi yakaendelea kama kawa.
 
Mi sioni tatizo kwa Nassary kuchangisha kwani hata baada ya kuchangisha aliwahi kusema yuko tayari kumpisha Dr. Slaa kama atataka kugombea na ataheshimu maamuzi ya chama. Nina wasiwasi na mtoa mada kuwa ni mmoja wa wanaomba usiku na mchana Chadema ipoteze Jimbo hilo. Nikija upande wa wagombea hakuna hata mmoja aliyejitokeza hadharani kulalamikia hilo, labda ritz angetueleza amekutana wapi na wagombea hao wa Chadema na walimlalamikia/walimweleza yeye akiwa na uhusiano gani nao? Je ni mamluki kutoka ccm? Je CDM hakuna viongozi? Hii inatupa kuwa kumbe CCM mna mamluki mliowatuma asanteni kwa taarifa.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom