Mgogoro mkubwa waikumba CHADEMA kwenye kumpata mgombea ubunge Jimbo la Arumeru

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,909
32,329
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.

JF thinker never buy utumbo like this
try again later

Trashed:photo::photo::photo::photo::photo::photo::A S-coffee::A S-coffee:
 
Sasa kama hawapewi ushirikiano ndani ya chama na wao wamekwishaona hilo wanasubiri nini kwa mfano?????

Hivi wakishaanza kuwaza ubunge akili huwa hazichambui mambo kwa uyakinifu????

Kusoma hawajui may be.......na picha pia hawaoni???
 
me nmesoma pia gazeti la mwananchi tar 26 hii habari ipo pia. lakini mtoa mada naye aseme kama ameipata wp
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.

Wewe ni mnafiki sana
 
Source plz!!!!

Lakini nashangaa kwanini watu hawaelewi,kwani Nasari katoa rushwa au watu wamempa hela,nadhani watu wamempa hela kwaajili ya mapenzi yao kwake...mimi sishangai watu kumpa ushirikiano Nasari,ni kitu cha kawaida kama wao hawapati ushirikiano ina maana kuwa hawakubaliki kama wagombea...na watuambie kuwa hawapati ushirikiano toka kwa nani...kama ni kwa wanachama na wapenzi wa CDM ni kweli,wengi wanamtaka JOSHUA NASARI...may be kama hawapati ushirikiano kwa uongozi naweza nikasema kuwa hilo ni tatizo na halipaswi kuonekana....vinginevyo wewe mleta uzi tupe source na usilete siasa za CCM ukadhani na sisi ni watu wanaotamani madaraka kama huko kwa majambazi....
 
Masaburi at work. Nani kawazuia na wao kuchangisha! Ni mgogoro ambao hata wao wenyewe hawaujui ni kitu inataka kutengenezwa na CCM lakini haitafanikiwa. Chadema ni Chama Makini.
 
Nimesoma kwenye Mwananchi la leo, kuna mtu anataka tu kwasababu Magamba kuna mgogoro, basi anatafutia sababu na CDM nako kuwe na mgogoro. Eti mmoja wa wagombea ambaye hakutaka jina lake lichapishwe ndie amemwambia! Peleka kwa wajingawajinga wa Magamba ****** kama huu ndio watakuamini.
 
Hawa ni Watu aina ya John Tendwa wanaokurupuka na kudai Wazee wa Kimira wamesema watamuua Lema! Linakurupuka kuzungumza utumbo kana kwamba nchi haina utawala wa sheria!
 
Wewe ni mnafiki sana
Mkuu hizi habari nimekua nazisikia kwamba Nasari anabebwa na CDM Taifa. Kuna haja uongozi taifa,mkoa na wilaya wakutane haraka na kuondoa tofauti zinazoanza kujitokeza. Kadri CDM inavyopata umarufu migongano kama hii itajitokeza sana. Uongozi ngazi zote wawe tayari kutumia
busara kumaliza tofauti kama hizi.
 
Naona suala la uraia limekwisha sasa Ritz aka Yasoda aamua kuhamia issues za chadema:photo:
 
Wanabodi..
Mgogoro mkubwa unakinyemelea Chadema wilayani Arumeru baadhi ya wananchama na wagombea waliochukuwa fomu za kuomba nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Wagombea pamoja na wanachama wa chama hicho wanapinga kitendo cha mgombea mwenzao, Joshua Nassari kuitisha harambee na kuchangisha fedha kwa ajili uchaguzi huo wakati chama bado hakijapitisha jina la mgombea.

Nassari, aliitisha harambee ya kuchangisha fedha Arusha alipata takribani Sh10 milioni katika harambee hiyo iliyohudhuriwa na Lema.

Wafuasi wa Chadema waliochukuwa fomu mbali na Nassari, ni Goodlove Temba, Yohane Kimuto, Rebbeca Mugwisha, Samwel Shami Sanjari na Anna Mgwilla.

Mchakato wa kuchukuwa fomu umefungwa juzi na jina la mgombea kujulikana Machi 3.
Wagombea wote kwa ujumla wamepinga kitendo hicho kuwa kimekiuka taratibu za chama.

Wagombea hao wamekwenda mbali zaidi na kusema hawapewi ushirikiano kama anaopewa mwenzao Nassari.

Na mleta uzi unaoneka una asili ya umbea,majungu,ushambenga,unoko,usengenyaji,nk...ati mgogoro mkubwa,nani kakwambia bwana? Acha kuleta tabia zako za ajabu hapa.
 
Tatizo la Pro-Chadema JF ndio ili, badala ya kujibu hoja wanaleta porojo kwenye mambo ya msingi.

Mbona migogoro ya CCM, NCCR Mageuzi, CUF, mnaijadili kwa kasi ya ajabu, kubalini ukweli Arumeru kuna mgogoro.
 
Tatizo la Pro-Chadema JF ndio ili, badala ya kujibu hoja wanaleta porojo kwenye mambo ya msingi.

Mbona migogoro ya CCM, NCCR Mageuzi, CUF, mnaijadili kwa kasi ya ajabu, kubalini ukweli Arumeru kuna mgogoro.

you are suffering from ignorance-fobia
 
Mkuu hizi habari nimekua nazisikia kwamba Nasari anabebwa na CDM Taifa. Kuna haja uongozi taifa,mkoa na wilaya wakutane haraka na kuondoa tofauti zinazoanza kujitokeza. Kadri CDM inavyopata umarufu migongano kama hii itajitokeza sana. Uongozi ngazi zote wawe tayari kutumia
busara kumaliza tofauti kama hizi.

ao waliochukua fomu wawe na hekima kijana nasari aldhubutu 2010 na bado anania njema ao waliofunguka muda uhu watulize mzukax wamwache chali wetu akapambane.kama na wenyewe wana jeuri waitishe haraaambeeee.
 
Back
Top Bottom