CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,045
Kwa kifupi mgogoro huuu ni wa kisiasa kwani Mkurugenzialiyekuwepo aliwafukuza wasukuma kw akigezo cha kumpa mkuu wa kaya eneo lakujenga, so wasukuma kwa uoga wao(ntuhu tabu gete gete… wakakimbilia sengeremana Kwimba, sasa baadhi wamerudi baada ya mvua kulegalega, sasa wamekuwa vibaruawa kufagia ROYAL RESORT (Hotel ya aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la Mwanza)
Haikutosha - Masha naujanja wake wote hatukumpa ng'o! Mkolanitulimheshimu Mabula(CCM) kumbe naye ni mwiba, mwizi, asiye na fadhila kwawapiga kura wake….asiye na huruma kwa wasukuma wenzake. E.gKabwe amejimegea eneo si chini ya eka 5ziwani(0 distance from Lake) na kujijengea hoteli yake, wengine wameshanzaujenzi pia.
post zingine bana, kwa hiyo hao wasukuma wooote ndiyo wanafanya kazi ROYAL RESORT?!!! Huwa naona vijana na mabinti tu pale, hao ndiyo unasema walinyang'anywa ardhi?!!