Matatizo yaliyopo katika mgodi huu kwa kiasi kikubwa yanasabisabishwa na mkuu wa willaya.
1. Kwa kushirikiana na Mbunge ( Kilaza) Kuamrisha wanaanchi kukubali matakwa ya magodi bila kunzigitia maslahi ya vijiji au taifa.
2. Kushirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa mgodi kuvunja sheria za nchi, kama za manzigira umwagaji wa vifusi ovyo, maji machafu yanamwagika kila kona, uahamiaji watu wa toka nchi jirani anawapa vibali kufanya kazi nchini bila kufuata sheria na ajali anasaidia ukadamizaji kila kitu kinapelekwa kwake.
3. Kukubali kufanya kazi kama mwajiliwa mgodi, kushiriki vikao vya mgodi vya unyanyasaji wa wananchi, anatumia 50% ya muda kwenye mambo ya mgodi na watu wanaofanya kazi nchini bila vibali.
Huyu anafanya kazi ya nani ya Tanzania au Makaburu
Naomba kuwakilisha
1. Kwa kushirikiana na Mbunge ( Kilaza) Kuamrisha wanaanchi kukubali matakwa ya magodi bila kunzigitia maslahi ya vijiji au taifa.
2. Kushirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa mgodi kuvunja sheria za nchi, kama za manzigira umwagaji wa vifusi ovyo, maji machafu yanamwagika kila kona, uahamiaji watu wa toka nchi jirani anawapa vibali kufanya kazi nchini bila kufuata sheria na ajali anasaidia ukadamizaji kila kitu kinapelekwa kwake.
3. Kukubali kufanya kazi kama mwajiliwa mgodi, kushiriki vikao vya mgodi vya unyanyasaji wa wananchi, anatumia 50% ya muda kwenye mambo ya mgodi na watu wanaofanya kazi nchini bila vibali.
Huyu anafanya kazi ya nani ya Tanzania au Makaburu
Naomba kuwakilisha