FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,059
- 40,723
Kwa mwenye taarifa juu ya lile shimo kubwa mbele ya msikiti wa Lindi Kariakoo mithili ya mgodi wa mawe, ni mali ya nani
Una maslahi nalo?Kwa mwenye taarifa juu ya lile shimo kubwa mbele ya msikiti wa Lindi Kariakoo mithili ya mgodi wa mawe, ni mali ya nani
Ndiyo, lile shimo nataka nifugie kambale, nitaomba magari yawe yanazungukia uhuruUna maslahi nalo?
Unazungumzia Kariakoo ipi? Lindi au Dar? Maana Kariakoo Lindi kuna Shimo mithili ya mgodiKwa mwenye taarifa juu ya lile shimo kubwa mbele ya msikiti wa Lindi Kariakoo mithili ya mgodi wa mawe, ni mali ya nani
Kwa mwenye taarifa juu ya lile shimo kubwa mbele ya msikiti wa Lindi Kariakoo mithili ya mgodi wa mawe, ni mali ya nani
Lipo Dar mkuu, ni mita chavhe toka kituo cha gerezani Mwendokasi, huwezi amini lile andaki lipo pale, gari ikiingia haionekani wallahiUnazungumzia Kariakoo ipi? Lindi au Dar? Maana Kariakoo Lindi kuna Shimo mithili ya mgodi