Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,048
- 5,092
Siku ya jumanne tarehe 8/11/2011 kuanzia muda wa saa 9 ya jioni, kulitoka hewa yenye harufu nzito sana iliyosambaa hadi nje ya mgodi wa Buzwagi.
Hewa hiyo ilisababisha wanakijiji pamoja na wanafunzi wa shule jirani kutapika na wengine kuzirai. OCD alitembelea sehemu husika lakini hajatoa tamko. Kuna uwezekano wa wanakijiji kuonesha hisia zao.
Pia visima vilivyokuwa vikitumiwa na wananchi kwa sasa, maji yana madhara makubwa! Kuna kaujanja kanafanywa na mkuu wa wilaya ili kufunika kombe.
MY TAKE: Madhara ya mgodi kwa wananzengo ni makubwa na yanafichwa kisiasa, kwani hali ya kisiasa hapa Kahama ni tete kwa Magamba! Nawasilisha wakuu!!
Hewa hiyo ilisababisha wanakijiji pamoja na wanafunzi wa shule jirani kutapika na wengine kuzirai. OCD alitembelea sehemu husika lakini hajatoa tamko. Kuna uwezekano wa wanakijiji kuonesha hisia zao.
Pia visima vilivyokuwa vikitumiwa na wananchi kwa sasa, maji yana madhara makubwa! Kuna kaujanja kanafanywa na mkuu wa wilaya ili kufunika kombe.
MY TAKE: Madhara ya mgodi kwa wananzengo ni makubwa na yanafichwa kisiasa, kwani hali ya kisiasa hapa Kahama ni tete kwa Magamba! Nawasilisha wakuu!!