Huwezi kuamini, lakini ndivyo ilivyo. Nimedokezwa Jana mkazi wa Nyamongo Tarime mkoani Mara, CHACHA KIGUHA BABERE aliupandisha mahakamani kwa mara ya kwanza uongozi wa mgodi wa Afrikan Barrick Gold Mine.
Kesi ipo mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza, na. 9/2013. Kesi imefunguliwa na familia ya Chacha, wanadai walipwe fidia ya sh. bilioni 1 na milioni 200, kwa madai wameathirika mno kiafya kutokana na shughuli za mgodi huo!. Hapo upo mwana JF?.
Picha ya kwanza. Kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu likiwa linaonekana kuunguza sehemu lilipoangukia eneo la mgodi wa Nyamongo.
Picha ya pili. Chacha na familia yake wakiwa home wakitafakari jinsi maisha yalivyomagumu.
Picha ya tatu. Ofisa mmoja wa serikali akisoma barua baada ya kufika nyumbani kwa Chacha. ANGALIZO, kama kuna maelezo mengine ya picha hizi hayana UHAKIKA SANA!.
Kesi ipo mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza, na. 9/2013. Kesi imefunguliwa na familia ya Chacha, wanadai walipwe fidia ya sh. bilioni 1 na milioni 200, kwa madai wameathirika mno kiafya kutokana na shughuli za mgodi huo!. Hapo upo mwana JF?.
Picha ya kwanza. Kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu likiwa linaonekana kuunguza sehemu lilipoangukia eneo la mgodi wa Nyamongo.
Picha ya pili. Chacha na familia yake wakiwa home wakitafakari jinsi maisha yalivyomagumu.
Picha ya tatu. Ofisa mmoja wa serikali akisoma barua baada ya kufika nyumbani kwa Chacha. ANGALIZO, kama kuna maelezo mengine ya picha hizi hayana UHAKIKA SANA!.