Statement yako inaonyesha kwamba Rais hawez kutoka nje ya CCM!!!!!
Na ukifuatilia posts zake humu JF anaonekana anatoka upinzani sasa hebu piga picha uone ni kwa jinsi gani wapinzani wenyewe wasivyojiamini kuwa wanaweza and then wanalaumu CCM inaharibu nchi.
Thread moja yangu kati ya chache nilizoanzisha niliandika sijui nimekosa uvumilivu; nimeogopa ama nimekosa imani? Kati ya hivi vitatu wiwili vimenitokea, kinachonishikilia ni kimoja nacho ni Imani yangu kwa yule aliye na agano na mimi kuwa naya weza yote kwake yeye anitiaye nguvu. Nalolote nitakalo omba sawa sawa na mapenzi yake yeye atanipa. Sijui ni wangapi watabaki kama mimi tuikomboe nchi yetu....
Jehova Nisi you are my Ebenezer!