Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Lile azimio maarufu la Bagamoyo la kuhakikisha Rais hatakaa atoke kasikazini[ref.riz],Azimio hilo lilifikiwa Bagomoyo kwenye mkutano wa CCM ,Mkoa wa Pwani...katika hali inayoonekana wazi ni utekelezaji wa Azimio hilo..Rais alimpandisha ...cheo mkuu wa wilaya ya Bagamoyo ,ndugu Malongo...,na kumfanya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Katika kuonesha wazi kuwa bwana Malongo ameenda Arusha kufanya siasa...jana alisimamia maelekezo ya simu aliyopewa na Rizwan kuhakikisha kuwa ofisi ya umoja wa vijana mkoa wa Arusha inatiwa kufuli...na ilibidi anyanyuke ofisini kwenda kusimamia utekelezaji wa agizo la mwana wa mfalme.....,hasa ukizingatiwa kuwa alikuwa amemuudhi kwa kushindwa kuzuia umoja wa vijana kufungua matawi mkoani mwake..safari hii akaona bora aende mwenyewe kuhakiki.
Sasa wana wa Arusha ..wajiulize ..wana mkuu wa mkoa au kibaraka wa mwana mfalme..na mfalme mwenyewe??? mkoa mkubwa na wenye shughuli nyingi za kiuchumi kama Arusha unapewa mkuu wa mkoa wa kutekeleza mikakati ya kisiasa ya watu au kundi??thats amazing..
Wakati umefika sasa kwa wakazi wa mkoa huu kutafakari upya kama wanahitaji mkuu wa mkoa kama Mgessa Malongo..
Tunaomba wenye CV zake waaze kuzimwaga hapa.......ndio maana kila siku tunasema kuwa vyeo vya DC na RC vifutwe..tunataka mameya wawe na role ya mkuu wa mkoa.....meya atakayechaguliwa na madiwani wa mkoa mzima basi awe MEYA wa mkoa au gavana na dc awe ni meya au mwenyekiti wa halmashauri husika ..watendaji wa kuteuliwa toka kwa rais wabakie hao Wakurugenzi wa maendeleo wa mikoa au wilaya..inatosha ...
Hata uteuzi wa juzi wa wakuu wa mikoa umekuwa na agenda ya siri...kuna wakuu wa mikoa kama Daniel ole Njolay,Shirima na Col Enoc Muphuru wameondolewa tena hata bila ya kuambiwa sababu ...aliyeongelewa ni Hajjat Mrisho wa Pwani ambaye iliongelewa anapewa kazi nyingine......hawa wengine hatujaambiwa...chochote...
Tumeshoshwa na siasa......
SEMENI HAPANA.WAKUU WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA NI MZIGO KWA TAIFA!!!!!!
Katika kuonesha wazi kuwa bwana Malongo ameenda Arusha kufanya siasa...jana alisimamia maelekezo ya simu aliyopewa na Rizwan kuhakikisha kuwa ofisi ya umoja wa vijana mkoa wa Arusha inatiwa kufuli...na ilibidi anyanyuke ofisini kwenda kusimamia utekelezaji wa agizo la mwana wa mfalme.....,hasa ukizingatiwa kuwa alikuwa amemuudhi kwa kushindwa kuzuia umoja wa vijana kufungua matawi mkoani mwake..safari hii akaona bora aende mwenyewe kuhakiki.
Sasa wana wa Arusha ..wajiulize ..wana mkuu wa mkoa au kibaraka wa mwana mfalme..na mfalme mwenyewe??? mkoa mkubwa na wenye shughuli nyingi za kiuchumi kama Arusha unapewa mkuu wa mkoa wa kutekeleza mikakati ya kisiasa ya watu au kundi??thats amazing..
Wakati umefika sasa kwa wakazi wa mkoa huu kutafakari upya kama wanahitaji mkuu wa mkoa kama Mgessa Malongo..
Tunaomba wenye CV zake waaze kuzimwaga hapa.......ndio maana kila siku tunasema kuwa vyeo vya DC na RC vifutwe..tunataka mameya wawe na role ya mkuu wa mkoa.....meya atakayechaguliwa na madiwani wa mkoa mzima basi awe MEYA wa mkoa au gavana na dc awe ni meya au mwenyekiti wa halmashauri husika ..watendaji wa kuteuliwa toka kwa rais wabakie hao Wakurugenzi wa maendeleo wa mikoa au wilaya..inatosha ...
Hata uteuzi wa juzi wa wakuu wa mikoa umekuwa na agenda ya siri...kuna wakuu wa mikoa kama Daniel ole Njolay,Shirima na Col Enoc Muphuru wameondolewa tena hata bila ya kuambiwa sababu ...aliyeongelewa ni Hajjat Mrisho wa Pwani ambaye iliongelewa anapewa kazi nyingine......hawa wengine hatujaambiwa...chochote...
Tumeshoshwa na siasa......
SEMENI HAPANA.WAKUU WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA NI MZIGO KWA TAIFA!!!!!!