St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,633
- 4,515
Vipi ukifungua mlango wa chumbani kwako kisha unamkuta huyu jamaa kajipumzisha
Doooh!
Ushaniharibia mood yangu hapa...
Mkuu samahani kwa hilo,halikuwa lengo langu,lengo langu ilikuwa ni kufahamishana tu mtu unatumia utaalamu gani kumfanya atoke humo chumbani bila kuumizana.
Vipi ukifungua mlango wa chumbani kwako kisha unamkuta huyu jamaa kajipumzisha
mwagie mafuta ya taa tu biashara inakuwa imekwisha
Mpige kiberiti tu!
Bora umuone ukiwa mlangoni.
mh mara ndio umejifungia chumbani yeye yuko kwa mlango!