directortmk
Member
- Oct 19, 2011
- 35
- 33
Habari za hapa JF mabibi na mabwana..mimi ni mgeni niliyefika hapa miaka mingi iliyopita pasipo kujitambulisha (Mlowezi), naomba kibali niendelee kuishi hapa kwa sababu nimepaelewa sana.
Lipa faini kwanza kwa kutojitambulishaHabari za hapa JF mabibi na mabwana..mimi ni mgeni niliyefika hapa miaka mingi iliyopita pasipo kujitambulisha (Mlowezi), naomba kibali niendelee kuishi hapa kwa sababu nimepaelewa sana.
Nimelipa kabla ya kutuma hiyo post
Asante mkuu, nilikuwepo kama mtembeleaji tu na sasa nimeona ni wakati muafaka wa kupiga hodiMkuu ulipotelea wapi kwani?, toka 2011 unatuposts 9 pekee. karibuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kwa kupotelewa na vitendea kazi vya hapa jukwaani.Asante mkuu, nilikuwepo kama mtembeleaji tu na sasa nimeona ni wakati muafaka wa kupiga hodi
Hahaaa...mkuu, ilikuwa ni vuta nikuvute mpaka kukamilisha set ya vitendea kazi vya humu jukwaani!Pole sana kwa kupotelewa na vitendea kazi vya hapa jukwaani.
Umepambana sana kurejea baada ya miaka 7 na miezi kadhaa.
Karibu sana mgeni mwenyeji
Pamoja sana mkuuHahaaa...mkuu, ilikuwa ni vuta nikuvute mpaka kukamilisha set ya vitendea kazi vya humu jukwaani!
Asante kwa ukaribisho.
Pamoja sana mkuuPamoja sana mkuu
Okay, karibu sana mwenyeji mgeniAsante mkuu, nilikuwepo kama mtembeleaji tu na sasa nimeona ni wakati muafaka wa kupiga hodi
Nimeshakaribia, natumia pepsi bigi
Asante mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.