Bladerunner
Member
- Dec 19, 2008
- 93
- 3
Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na ubishi mmoja wa ajabu sana!!!hebu fuatilia haya maongezi..
Mlevi:ule ni mwezi,wewe na akili yako umeona wapi jua likatoka usiku??
Mvuta bangi:haa we ndo chizi kweli,nani kakwambia saa hivi usiku??lile jua ngoja tumuulize huyu jamaa anaekuja??
kwa pamoja:"ee bwanaee eti lile jua au mwezi??"
TEJA(Mvuta unga):"masela mbona mnanirusha stimu,MIMI MGENI MAENEO HAYA NITAJUAJE????"
Mlevi:ule ni mwezi,wewe na akili yako umeona wapi jua likatoka usiku??
Mvuta bangi:haa we ndo chizi kweli,nani kakwambia saa hivi usiku??lile jua ngoja tumuulize huyu jamaa anaekuja??
kwa pamoja:"ee bwanaee eti lile jua au mwezi??"
TEJA(Mvuta unga):"masela mbona mnanirusha stimu,MIMI MGENI MAENEO HAYA NITAJUAJE????"
Last edited: