Mgeja: Chadema wanadai uhuru wa bandia maana uhuru kamili tulishapata 1961

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,614
141,437
Mzee Hamis Mgeja amesema Chadema bado wako katika harakati za kudai uhuru.

Amedai yawezekana uhuru wanaoutafuta ni wa bandia kwani uhuru kamili tulishaupata mwaka 1961 chini ya Tanu.

My take;
Labda ndio maana Chadema wanapinga kila kitu kwa sababu hawajui wanataka nini!

Maendeleo hayana vyama!
 
Unafiki ni kitu kibaya sana maishani. Huyu ni kama mke vile wa fisadi lowassa kila alipo na yeye anataka kuwepo ili arushiwe mifupa aliyobakisha fisadi lowassa.

Mtu mzima hovyoooooooo! Hana msimamo wala hawezi kufanya maamuzi huru.

Mzee Hamis Mgeja amesema Chadema bado wako katika harakati za kudai uhuru.

Amedai yawezekana uhuru wanaoutafuta ni wa bandia kwani uhuru kamili tulishaupata mwaka 1961 chini ya Tanu.

My take;
Labda ndio maana Chadema wanapinga kila kitu kwa sababu hawajui wanataka nini!

Maendeleo hayana vyama!
 
Anachanganya independence na freedom
Mzee Hamis Mgeja amesema Chadema bado wako katika harakati za kudai uhuru.

Amedai yawezekana uhuru wanaoutafuta ni wa bandia kwani uhuru kamili tulishaupata mwaka 1961 chini ya Tanu.

My take;
Labda ndio maana Chadema wanapinga kila kitu kwa sababu hawajui wanataka nini!

Maendeleo hayana vyama!

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
giphy-15.gif

Mizee Mingine laana!!! Mitumbo!!!..Kinyesi tu!!! Luhunbo Luhumbo!!
 
Back
Top Bottom