johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,727
- 141,592
Mzee Hamis Mgeja amesema Chadema bado wako katika harakati za kudai uhuru.
Amedai yawezekana uhuru wanaoutafuta ni wa bandia kwani uhuru kamili tulishaupata mwaka 1961 chini ya Tanu.
My take;
Labda ndio maana Chadema wanapinga kila kitu kwa sababu hawajui wanataka nini!
Maendeleo hayana vyama!
Amedai yawezekana uhuru wanaoutafuta ni wa bandia kwani uhuru kamili tulishaupata mwaka 1961 chini ya Tanu.
My take;
Labda ndio maana Chadema wanapinga kila kitu kwa sababu hawajui wanataka nini!
Maendeleo hayana vyama!