Mgawanyo wa fedha kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2021/2022 ni kilio kitupu kwa walio wengi

Mo graphics 2019

JF-Expert Member
Oct 14, 2019
1,002
1,453
Heshima kwenu wadau wa JF.

Mgawanyo wa fedha kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2021/2022 ni kilio kitupu kwa walio wengi.

Imagine mtu analipiwa 256,000|= Out ya 1263,000|= tafsiri yake hapo anatakiwa aongeze kama 1m hivi.

Sasa je ni wangapi wata mudu kujiongezea hizo pesa ili waweze kusoma? Naskia falsafa ya mwaka huu n kila mtu apate mgao hta kama n kidg kiasi gani.

Mbaya zaid wamechelewesha kutoa mgawanyo kwa wanafunzi hata mzazi anashindwa kujipanga mapema kutafta hela ili amlipie mwanawe.

Naona wanafunzi wengi watashindwa kulipoti Vyuoni kwa sababu ya michinjo ya loan board.

Kama una mwanao ni first year jipange mapema kumsupport maana n zaidi ya 50% ya wanafunzi wamepangia chini ya 50% ya tuition fee.

Kazi iendelee.
 
Iyo ya Mo dewji foundation ikoje mkuu?
Tazama hapa.
IMG-20211022-WA0000.jpg
 
Heshima kwenu wadau wa JF.

Mgawanyo wa fedha kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2021/2022 ni kilio kitupu kwa walio wengi.

Imagine mtu analipiwa 256,000|= Out ya 1263,000|= tafsiri yake hapo anatakiwa aongeze kama 1m hivi.

Sasa je ni wangapi wata mudu kujiongezea hizo pesa ili waweze kusoma? Naskia falsafa ya mwaka huu n kila mtu apate mgao hta kama n kidg kiasi gani.

Mbaya zaid wamechelewesha kutoa mgawanyo kwa wanafunzi hata mzazi anashindwa kujipanga mapema kutafta hela ili amlipie mwanawe.

Naona wanafunzi wengi watashindwa kulipoti Vyuoni kwa sababu ya michinjo ya loan board.

Kama una mwanao ni first year jipange mapema kumsupport maana n zaidi ya 50% ya wanafunzi wamepangia chini ya 50% ya tuition fee.

Kazi iendelee.
Ukiangalia kwa mtazamo tofauti utaona hilo ni jambo jema sana maana limempunguzia mwanafunzi mzigo wa malipo ya mkopo baada ya kumaliza chuo!

NB: Uchungu wa boom utauona ukianza kulipa deni kila mwezi. Na ukizubaa utalilipa mpaka una kufa.
 
Heshima kwenu wadau wa JF.

Mgawanyo wa fedha kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2021/2022 ni kilio kitupu kwa walio wengi.

Imagine mtu analipiwa 256,000|= Out ya 1263,000|= tafsiri yake hapo anatakiwa aongeze kama 1m hivi.

Sasa je ni wangapi wata mudu kujiongezea hizo pesa ili waweze kusoma? Naskia falsafa ya mwaka huu n kila mtu apate mgao hta kama n kidg kiasi gani.

Mbaya zaid wamechelewesha kutoa mgawanyo kwa wanafunzi hata mzazi anashindwa kujipanga mapema kutafta hela ili amlipie mwanawe.

Naona wanafunzi wengi watashindwa kulipoti Vyuoni kwa sababu ya michinjo ya loan board.

Kama una mwanao ni first year jipange mapema kumsupport maana n zaidi ya 50% ya wanafunzi wamepangia chini ya 50% ya tuition fee.

Kazi iendelee.
Hivi kwanini sie tulosomeshwa na wazazi wetu private tunanyanyapaliwa kwenye mikopo asee
 
Hivi kwanini sie tulosomeshwa na wazazi wetu private tunanyanyapaliwa kwenye mikopo asee
Nashangaa wakati wazazi wenu ni walipa kodi wazuri, na wakati huo mlipokua mkisoma waliipunguzia. Zgo serikali la kuwasomesha, leo wazazi wenu na ninyi mnapewa adhabu kwa style hii. Mkopo hakna hata kama wazazi ama wLezi wamefiliska ama wamekufa. Huu ubaguzi ni mkubwa sana
 
Nashangaa wakati wazazi wenu ni walipa kodi wazuri, na wakati huo mlipokua mkisoma waliipunguzia. Zgo serikali la kuwasomesha, leo wazazi wenu na ninyi mnapewa adhabu kwa style hii. Mkopo hakna hata kama wazazi ama wLezi wamefiliska ama wamekufa. Huu ubaguzi ni mkubwa sana
Sure hili swala n lazma liangaliwe upya. Mambo hua yanabadilika. Kuna kufariki kwa mzazi, kuacha kazi, kufirisika biashara na mambo mengi ambayo yaweza pelekea uchumi wa muhusika kuyumba.

Nadhani n wakati sasa wa serikali kuliangalia upya hili jambo.
 
Back
Top Bottom