Mgao wa umeme usio rasmi

Mugerezi

JF-Expert Member
Mar 28, 2007
456
10
Sasa hivi imekuwa tabia ya mashirika yetu kutokutoa huduma bila taarifa. Tanesco baada ya uchaguzi kumalizika kuna mgao wa rejareja unaendelea. Kila siku umeme unakatwa tena kwa masaa mpaka 8 hakuna taaarifa ya maana. Jana Ngereja baada ya kuapishwa alisema wanataka kumaliza mambo ya mgao wakati tuko kwenye mgao wa kimyakimya. Hii kitu inachosha na kukera sana. Tutakuza uchumi kweli? Kwanini wasitangaze tu?
 
Hili nalo ni Tatizo la Viongozi wetu na linatushangaza sana,kwajiji kubwa kama DSM kukosa umeme kuna athiri mambo mengi sana ya maendeleo kama mahopstali mabenki majumbani mwetu na sehemu nyingine nyingi,Mawaziri wengi wa Nishati na Madini wamepita lakini swala hili limekuwa kama Mradi kwao je ni kweli kuwa nchi yetu imekosa kabisa njia au nishati mbadala ya kulimaliza tatizo hili la mgao wa umeme ? au tuna kuwa na Mawaziri husika hewa?wakati kwenye kampeni tuliahidi mambo makubwa makubwa ya ajabu mfano,kujenga viwanja vya ndege kwenye Mikoa kadhaa,kununua Meli, kujenga Mabarabara,na hata za juu angani,kununua Bajaji 400 songea n.k
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom