Mgao wa umeme unatoka wapi kama tulikuwa na uzalishaji wa ziada wa umeme?

Ngamanya Kitangalala

JF-Expert Member
Sep 24, 2012
501
1,214
Nchi yetu kwa sasa imepata changamoto ya upungufu wa mvua, hii ni kwa mujibu wa mamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA), jambo lililopelekea upungufu wa uzalishaji wa umeme hapa nchini, hiyo ni kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na shirika letu la umeme hapa nchini (Tanesco) jana tarehe 18 Novemba 2021

Ukisoma kwenye tovuti rasmi ya shirika letu la umeme (Tanesco) inaonyesha shirika letu hilo kwa sasa lina uwezo wa kuzalisha umeme wa MW 1602

Ambapo kati ya hizo, vyanzo vya maji pekee (Hydroelectric) vinazalisha MW 561.843 , ambazo ni sawa na asilimia 36.64 ya umeme wote unaozalishwa hapa nchini na gesi (Thermal gas) na dieseli kwa pamoja zinazalisha takribani MW 796.34 , sawa na asilimia 63.36%

Lakini ukisoma kwenye ILANI YA UCHAGUZIYA CHAMA CHA MAPINDUZI YA MWAKA W020-2025 kwenye ukurasa wa 99, unaozugumzia kuhusu NISHATI, inaonyesha nchi yetu imefanikiwa kuongeza uzalishaji wa umeme, kutoka MW 1308 mwaka 2015, mpaka MW 1602 mwaka 2020, ambapo ongezeko hilo limefanya nchi yetu kujitosheleza na umeme na kuzalisha umeme wa ziada wa MW 445, ukilinganisha na mahitaji ya sasa ya umeme nchini ya MW 1120.12

Sasa taarifa ya jana ya Tanesco, inaonyesha kwa sasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoendelea, shirika lina upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345 sawa na asilimia 21 ya umeme wote unaozalishwa na shirika hilo wa MW 1602.

Sasa swali la kujiuliza, kama tulikuwa na ziada ya umeme kwa MW 445 na sasa kuna upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345, huo mgao unaendelea unatoka wapi?
 
Fuatilia vizuri, utakuta kilichoko kwenye taarifa ya TANESCO ni uongo maana hiyo 2015-2021 rais alikuwa Magufuli na alikuwa bingwa wa kupika data. Hiki kinachosemwa na kina Januari sasa ni muendelezo wa uongo huo huo ili kulindana wanaccm, na zaidi ni kutengeneza mianya ya ulaji.

Hili suala la kuwa CCM wamebobea kwenye uongo liko wazi, na wananchi wameshaligundua hilo, ndio maana kwa sasa CCM haiheshimu tena box la kura, maana matokeo wanayopata sio rafiki tena kwao.
 
Mkuu awamu ya nne ndiyo ipo madarani.

Unaambiwa hata winch itakodishwa toka nje ya nchi kama ilivyokuwa katika nguzo za umeme. Ilikuwa zinavunwa Iringa zinapelekwa kwa Mandela kisha tunazinunua toka kwa Mandela tunazilera kwa Kikwete. Au umesahau hizo enzi?
 
Hizo data zinampendeza mpiga kura.Lakini uzalishaji wa umeme sio constant una fracuate.

Pia yawezakana data za kukariri lakini sio za uhalisia.

Lakini pammoja na hiyo hatukuwa na blackout ndefu wakati wa Mjomba Magu.TANESCO walikuwa wanamuogopa Magu.Tokea amefariki ndio wameanza maintenance za miundo mbinu.

Ebu jiulize mabwawa ya maji hadi maji yanapungua kiasi hicho kwanini hawakuchukua hatua za kimkakati kama kukarabati gas turbine generators ?Au kubaini mchepuo wa maji yanayochepuliwa kimakosa?

Nidhamu ya uwoga ndio sumu ya TANESCO.
 
Nchi yetu kwa sasa imepata changamoto ya upungufu wa mvua, hii ni kwa mujibu wa mamlaka ya hali ya hewa nchini( TMA), jambo lililopelekea upungufu wa uzalishaji wa umeme hapa nchini, hiyo ni kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na shirika letu la umeme hapa nchini( Tanesco) jana tarehe 18 Novemba 2021

Ukisoma kwenye tovuti rasmi ya shirika letu la umeme( Tanesco) inaonyesha shirika letu hilo kwa sasa lina uwezo wa kuzalisha umeme wa MW 1602

Ambapo kati ya hizo, vyanzo vya maji pekee( Hydroelectric) vinazalisha MW 561.843 , ambazo ni sawa na asilimia 36.64 ya umeme wote unaozalishwa hapa nchini na gesi( Thermal gas) na dieseli kwa pamoja zinazalisha takribani MW 796.34 , sawa na asilimia 63.36%

Lakini ukisoma kwenye ILANI YA UCHAGUZIYA CHAMA CHA MAPINDUZI YA MWAKA W020-2025 kwenye ukurasa wa 99, unaozugumzia kuhusu NISHATI, inaonyesha nchi yetu imefanikiwa kuongeza uzalishaji wa umeme, kutoka MW 1308 mwaka 2015, mpaka MW 1602 mwaka 2020, ambapo ongezeko hilo limefanya nchi yetu kujitosheleza na umeme na kuzalisha umeme wa ziada wa MW 445, ukilinganisha na mahitaji ya sasa ya umeme nchini ya MW 1120.12

Sasa taarifa ya jana ya Tanesco, inaonyesha kwa sasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoendelea, shirika lina upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345 sawa na asilimia 21 ya umeme wote unaozalishwa na shirika hilo wa MW 1602

Sasa swali la kujiuliza, kama tulikuwa na ziada ya umeme kwa MW 445 na sasa kuna upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345, huo mgao unaendelea unatoka wapi?
Walikuwa wanaweka Data za uongo. Sasa wameumbuka.
 
Fuatilia vizuri, utakuta kilichoko kwenye taarifa ya TANESCO ni uongo maana hiyo 2015-2021 rais alikuwa Magufuli na alikuwa bingwa wa kupika data. Hiki kinachosemwa na kina Januari sasa ni muendelezo wa uongo huo huo ili kulindana wanaccm, na zaidi ni kutengeneza mianya ya ulaji.

Hili suala la kuwa CCM wamebobea kwenye uongo liko wazi, na wananchi wameshaligundua hilo, ndio maana kwa sasa CCM haiheshimu tena box la kura, maana matokeo wanayopata sio rafiki tena kwao.
Namba hazidanganyi CCM wameumbuka tena.
 
Nchi yetu kwa sasa imepata changamoto ya upungufu wa mvua, hii ni kwa mujibu wa mamlaka ya hali ya hewa nchini( TMA), jambo lililopelekea upungufu wa uzalishaji wa umeme hapa nchini, hiyo ni kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na shirika letu la umeme hapa nchini( Tanesco) jana tarehe 18 Novemba 2021

Ukisoma kwenye tovuti rasmi ya shirika letu la umeme( Tanesco) inaonyesha shirika letu hilo kwa sasa lina uwezo wa kuzalisha umeme wa MW 1602

Ambapo kati ya hizo, vyanzo vya maji pekee( Hydroelectric) vinazalisha MW 561.843 , ambazo ni sawa na asilimia 36.64 ya umeme wote unaozalishwa hapa nchini na gesi( Thermal gas) na dieseli kwa pamoja zinazalisha takribani MW 796.34 , sawa na asilimia 63.36%

Lakini ukisoma kwenye ILANI YA UCHAGUZIYA CHAMA CHA MAPINDUZI YA MWAKA W020-2025 kwenye ukurasa wa 99, unaozugumzia kuhusu NISHATI, inaonyesha nchi yetu imefanikiwa kuongeza uzalishaji wa umeme, kutoka MW 1308 mwaka 2015, mpaka MW 1602 mwaka 2020, ambapo ongezeko hilo limefanya nchi yetu kujitosheleza na umeme na kuzalisha umeme wa ziada wa MW 445, ukilinganisha na mahitaji ya sasa ya umeme nchini ya MW 1120.12

Sasa taarifa ya jana ya Tanesco, inaonyesha kwa sasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoendelea, shirika lina upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345 sawa na asilimia 21 ya umeme wote unaozalishwa na shirika hilo wa MW 1602

Sasa swali la kujiuliza, kama tulikuwa na ziada ya umeme kwa MW 445 na sasa kuna upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345, huo mgao unaendelea unatoka wapi?
Installed capacity ya mitambo na output ni vitu viwili tofauti
 
Nchi yetu kwa sasa imepata changamoto ya upungufu wa mvua, hii ni kwa mujibu wa mamlaka ya hali ya hewa nchini( TMA), jambo lililopelekea upungufu wa uzalishaji wa umeme hapa nchini, hiyo ni kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na shirika letu la umeme hapa nchini( Tanesco) jana tarehe 18 Novemba 2021

Ukisoma kwenye tovuti rasmi ya shirika letu la umeme( Tanesco) inaonyesha shirika letu hilo kwa sasa lina uwezo wa kuzalisha umeme wa MW 1602

Ambapo kati ya hizo, vyanzo vya maji pekee( Hydroelectric) vinazalisha MW 561.843 , ambazo ni sawa na asilimia 36.64 ya umeme wote unaozalishwa hapa nchini na gesi( Thermal gas) na dieseli kwa pamoja zinazalisha takribani MW 796.34 , sawa na asilimia 63.36%

Lakini ukisoma kwenye ILANI YA UCHAGUZIYA CHAMA CHA MAPINDUZI YA MWAKA W020-2025 kwenye ukurasa wa 99, unaozugumzia kuhusu NISHATI, inaonyesha nchi yetu imefanikiwa kuongeza uzalishaji wa umeme, kutoka MW 1308 mwaka 2015, mpaka MW 1602 mwaka 2020, ambapo ongezeko hilo limefanya nchi yetu kujitosheleza na umeme na kuzalisha umeme wa ziada wa MW 445, ukilinganisha na mahitaji ya sasa ya umeme nchini ya MW 1120.12

Sasa taarifa ya jana ya Tanesco, inaonyesha kwa sasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoendelea, shirika lina upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345 sawa na asilimia 21 ya umeme wote unaozalishwa na shirika hilo wa MW 1602

Sasa swali la kujiuliza, kama tulikuwa na ziada ya umeme kwa MW 445 na sasa kuna upungufu wa uzalishaji wa umeme kwa MW 345, huo mgao unaendelea unatoka wapi?
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom