nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Jamani wanajamii mgao wa umeme huku Moshi ni balaa na janga pia. Umeme unakatwa saa moja ahsubuhi unarejeshwa saa tano usiku, bila kujali kuwa ni laini ya hospitali umeme unakatwa jenereta linaungurum kutwa nzima. Je, watanzania ambao hawawezi kupelekwa India kimatibabu wataponea wapi au ndo sera za Magamba kutuua kwa njia hiyo? Nawasilisha;