Mgao wa Umeme; Kati ya Tarehe 1 - 29 Novemba ametumia Shilingi Milioni 15 kuwasha Generetor

JF Member

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
7,389
9,664
Hakika kila kitu kitapanda bei.

Hapa kwenye biashara ya rafiki yangu ananambia ametumia milion 15 za kuwasha Generator kati ya Nov 1-29. Umeme wa kawaida huwa wanatumia milion 5 tu kwa mwezi.

Sasa anafikilia kupandisha bei kama hari ikiendelea hivi na mwezi huu. Ila anaogopa kupoteza wateja.

Cha kushangaza ana ratiba ya mgao wa umeme lakini kuna mgao ndani ya mgao. Yaani Ratiba ya Mgao haufuatwi.

Kwenu studio na Kipara
 
Hakika kila kitu kitapanda bei.

Hapa kwenye biashara ya rafiki yangu ananambia ametumia milion 15 za kuwasha Generator kati ya Nov 1-29. Umeme wa kawaida huwa wanatumia milion 5 tu kwa mwezi.

Sasa anafikilia kupandisha bei kama hari ikiendelea hivi na mwezi huu. Ila anaogopa kupoteza wateja.

Cha kushangaza ana ratiba ya mgao wa umeme lakini kuna mgao ndani ya mgao. Yaani Ratiba ya Mgao haufuatwi.

Kwenu studio na Kipara
Duuh biashara gani hii
 
Hili taifa lina bahati mbaya sana ya kuongozwa na waliofeli lakini ndio kwanza wanaendelea kutengeneza mitandao ya kuendelea kutuongoza.

Hii hali ni kama inaelekea kuzoeleka sasa, watanzania tumeridhika, hizo gharama za ziada zinazoingiwa kutokana na huu uzembe wa watawala ni kama watanzania tumeridhika kuubeba.

Bahati nzuri kwao sasa mtu anaongoza wizara iliyomshinda kwa tabasamu kubwa kama vile kila kitu kiko sawa, anajua kazi anayofanya haina masharti ya kufikia viwango vya perfomance, hivyo hata akifeli ni sawa tu mambo yatakwenda.
 
Hili taifa lina bahati mbaya sana ya kuongozwa na waliofeli lakini ndio kwanza wanaendelea kutengeneza mitandao ya kuendelea kutuongoza.

Hii hali ni kama inaelekea kuzoeleka sasa, watanzania tumeridhika, hizo gharama za ziada zinazoingiwa kutokana na huu uzembe wa watawala ni kama watanzania tumeridhika kuubeba.

Bahati nzuri kwao sasa mtu anaongoza wizara iliyomshinda kwa tabasamu kubwa kama vile kila kitu kiko sawa, anajua kazi anayofanya haina masharti ya kufikia viwango vya perfomance, hivyo hata akifeli ni sawa tu mambo yatakwenda.
Nchi moja ya kipumbavu sana.
Mpaka namlaumu mzee kwanini asingeoa na mzungu akiwa nje, sasa hivi ningekua nimepiga chini uraia wa taifa hili la kidwanzi.
 
Umeme wa milioni 15 ni kiwanda hicho mkuu?,kinyume na hapo umeongeza sifuri kwa mbele
Mkuu hata mm niliwaza nikasema lkn kama kuna watu nchii hiihii wanalipia hoteli zaidi ya millioni 1 kwa siku inawezekana kuna wa2 wana matumizi makubwa kuliko navyodhania 🥴
 
Hili taifa lina bahati mbaya sana ya kuongozwa na waliofeli lakini ndio kwanza wanaendelea kutengeneza mitandao ya kuendelea kutuongoza.

Hii hali ni kama inaelekea kuzoeleka sasa, watanzania tumeridhika, hizo gharama za ziada zinazoingiwa kutokana na huu uzembe wa watawala ni kama watanzania tumeridhika kuubeba.

Bahati nzuri kwao sasa mtu anaongoza wizara iliyomshinda kwa tabasamu kubwa kama vile kila kitu kiko sawa, anajua kazi anayofanya haina masharti ya kufikia viwango vya perfomance, hivyo hata akifeli ni sawa tu mambo yatakwenda.
Waliofaulu ndio wahovyo zaidi mana wamekaa kimya na ni waoga.

Dunia haiwezi kubadilishwa na waliofaulu hasa kwenye mipango ya kimaendeleo.

Waliofaulu ni wabinafsi sana. Wanawaza mafanikio yao peke yao.
Ukikaa ukategemea wasomi wa kiwango Cha juu wakuletee mabadiliko utadoda milele.
Angalia Madaktari na maEnginia wanawaza Nini zadi ya Kupiga kwenye miradi na wale Madaktari ulevi na uzinzi. Hakuna kingine .
Hata kura hua hawapigi.

Mapinduzi yanaletwa na Mashujaa wasiojali nafsi zao kabla ya maono yao.

Lisu anaweza kuwa Shujaa ,Hata Bashiru Ally. Lakini Mashujaa halisi wanatokea Jeshini sio uraiani.

Hata walowezi waliambatana na Wapelelezi wa Kijeshi na walipopata upinzani walitumia nguvu ya risasi.

Angalau Magu ni raia Aliyekua na hulka ya Kijeshi.

WANASHERIA NDIO WASOMI WALIOKUA WAMEBAKI LAKINI NAO KWA SASA WANALENGA MASLAHI YAO TU.
 
Back
Top Bottom