kijana mdogo mawazo ya kizeeUnanchekesha. Wapi ulisikia CCM wanapigana au ushayasahau ya Shibuda ya Muafaka Arusha? "Nyani huona ..... la mwenzake, .....le halioni"
hao watu wakishaamka wakasema basi ndo umeme utawaka...?? Kinachohitajika ni CHADEMA, mimi na wewe tuangalie rasilimali tulizonazo kama JUA, UPEPO, GAS ni kipi ambacho kinaweza kugenerate power easily and fast kama short term plan!!! On doing this TANESCO iachwe ijiendeshe kibiashara kusiwe na mikono ya Politicians katika maamuzi yao koz wengi au wote ni vilaza as far as Umeme is concern!!!
Project kubwa zianze kujengwa na warudishe system ya Diesel Genset kwa kila mkoa wa KITANESCO ambazo zitakuwa kama back up on mains failure!!! Hospitali zote zipatiwe standby genset kama makampuni ya simu walivyofanya katika minara yao na koz tunachangia (KULIPIA) matibabu then swala la mafuta libaki chini ya uongozi wa hospitali na hapa kusiwe na dealz za kipuuzi katika ununuaji wa mafuta ya Genset hizi!!!
Kama MBOWE alipokamatwa alipelekwa mpk Arusha kwa Ndege na haikua kwenye Bajeti then hata hili la umeme ni viongozi wetu hawataki kufanya maamuzi ya kututoa kwenye hali hii!!! kujenga UDOM sio uamuzi mgumu!! Kama Serikali itaondoa mgao wa umeme sasa then huo utakua zaidi ya kujenga UDOM!!!!