sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Mmetuletea mgao wa maji tumekubali,mgao wa umeme tumezoea,na sasa mgao wa mafuta tumekubali,lakini chonde chonde msije mkatuletea na mgao wa pombe na ngono!......hapo atutaelewana kabisa kabisa,maana hizo ndio zinatusaidia kupata usingizi na kupunguza mawazo!!!!!