Mgao wa Maji na Umeme kero kuu ya wakazi wa Jiji la Mwanza

Ni kati ya maajabu moja wapo ya dunia yaani maji yako jirani hapo halafu kwenye mabomba hakuna maji?
 
Ilani ya Chama inasema 2015-2020 Mwanza nzima itakua inatoa maji safi kasoro siku ya J2 yatazoa chai ya maziwa kusherekea kufikia uchumi wa kati.
 
Tunawauliza mloshika nji..mna shida gan haziishi na jiji letu pendwa la kujidai?
Lol sijashika mji mimi.Mwenyewe nimechukia leo kazi zangu nyingi zimekwama kisa laini yetu haikuwa na umeme.Ndo umerudi muda si mrefu,nimechukia sana.Maji hawajatukatia leo.Namsubiri mzee baba aje na huku.
 
Huku mgao wa maji huku umeme jiji limekuwa kama wanaishi wahuni hivi mkuu wa mkoa huwezi kutatua matatizo kama haya au mpaka aje rais? Leo umeme pia ni kero tupu maji ndo kama hivyo tunakimbizana na madumu kila siku wakati maji yapo hapa tu.
Endeleeni kuchota maji ziwani mpaka ccm itakapoondoka madarakani ndio ukombozi utafika Mwanza.
 
Huku mgao wa maji huku umeme jiji limekuwa kama wanaishi wahyhuni hivi mkuu wa mkoa huwezi kutatua matatizo kama haya au mpaka aje rais? Leo umeme pia ni kero tupu maji ndo kama hivyo tunakimbizana na madumu kila siku wakati maji yapo hapa tu.

Hili si geni nchini TANZANIA na hakuna jipya hapo.

Labda kama ulitaka kutuambia humpendi Mjomba.
 
Ndio shida ya serikali hii ya kishetani hawajali kabisa wananchi
 
Lol sijashika mji mimi.Mwenyewe nimechukia leo kazi zangu nyingi zimekwama kisa laini yetu haikuwa na umeme.Ndo umerudi muda si mrefu,nimechukia sana.Maji hawajatukatia leo.Namsubiri mzee baba aje na huku.


Mbeya umeme ndo umarudi saizi baada ya kukatika si chini ya mara tano.

Pamoja na uwingi vianzo vya maji bado tunakunywa maji ya mito pamoja na wanyama.

Maisha yanaenda.

#nAripoti_toka_RUNGWE_KARIBU_sana.
 
Back
Top Bottom