Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Hello JF.
Nilinunua hisa za kampuni ya mawasiliano kwa simu za mkononi Vodacom mwezi may 2017. Hadi sasa ninapoandika sijapata gawio na NBC Bank aliyekuwa mshenga ama wakala wakati wa uuzaji hisa hizo hawanipi ushirikiano dhabiti ktk hili.
Je wadau wenye hisa huko au wenye tetesi nini kinaendelea?
Nilinunua hisa za kampuni ya mawasiliano kwa simu za mkononi Vodacom mwezi may 2017. Hadi sasa ninapoandika sijapata gawio na NBC Bank aliyekuwa mshenga ama wakala wakati wa uuzaji hisa hizo hawanipi ushirikiano dhabiti ktk hili.
Je wadau wenye hisa huko au wenye tetesi nini kinaendelea?