Mgao mkali wa umeme waweza kutokea nchini. Serikali imejipanga?

Bemendazole

JF-Expert Member
Nov 14, 2020
2,275
5,640
'Nimekamilisha ziara ya kuzunguka nchi nzima'.

Picha niliyoiona ni ya uhaba mkubwa wa maji tiririka katika water bodies kama vile mito.

Hili litaathiri kwa kiasi kikubwa kujaa kwa mabwawa ya kuzalisha umeme, kitu kitakachopelekea nchi kuingia kwenye giza kuu.

Nishati ya umeme ni nishati muhimu sana, pengine mtakumbuka jinsi uhaba wa nishati hii ulivyomng'oa Mh Lowasa kwenye uwaziri mkuu mwaka 2007.

Wito wangu kwa serikali ni kuanza kujipanga sasa maana kufikia mwezi wa nane mwaka huu, hali inaweza kuanza kuwa mbayaa!

Naishauri serikali kukata bajeti ya wizara ya nishati iliyokuwa imeelekezwa kujenga bwawa la umeme kwa 70% katika mwaka ujao wa fedha na kuelekeza fedha hizi kwenye kufua umeme wa dharura.

Napendekeza fedha hizo zielekezwe kwenye kununua ama kukodi meli za kuzalisha umeme wa gesi kiasi cha takriban Megawatt 300-400.
 
Napendekeza fedha hizo zielekezwe kwenye kununua ama kukodi meli za kuzalisha umeme wa gesi kiasi cha takriban Megawatt 300-400.

Meli hizo zitiwe nanga kati ya pwani ya Mtwara hadi Dar es salaam na kuunganishwa na gridi ya taifa...
Ili kuweza kuzalisha umene wa dharura pale hali itakapo lazimu.
Ni dhahiri mradi wa mwal Nyerere hauwezi kukamilika kwa wakati na hata ukikamilika, itahitaji takriban miaka mitatu kulijaza bwawa maji.
Kwa hiyo kwa sasa ni vyema serikali iwekeze nguvu nyingi kwenye kuzalisha umeme wa dharura ili kukabiliana na sintofahamu inayoweza kujitokeza kwenye sekta hii ya nishati.
 
'Nimekamilisha ziara ya kuzunguka nchi nzima'.
Picha niliyoiona ni ya unaba mkubwa wa maji tiririka katika water bodies kama vile mito.
Hili litaathiri kwa kiasi kikubwa kujaa kwa mabwawa ya kuzalisha umeme, kitu kitakachopeleke nchi kuingia kwrnye giza kuu.
Nishati ya umeme ni nishati muhimu sana, pengine mtakumbuka jinsi uhabaxwa nishati hii ulivyomng'oa Mh Lowasa kwenye uwaziri mkuu mwaka 2007.
Wito wangu kwa serikali ni kuanza kukipanga sasa maana kufikia mwezi wa nane mwaka huu, hali inaweza kuanza kuwa mbayaa!
Naishauri serikali kukata bajeti ya wizara ya nishati iliyokuwa imeelekezwa kujenga bwawa la umeme kwa 70% katika mwaka ujao wa fedha na kuelekeza fedha hizi kwenye kufua umeme wa dharura.
Napendekeza fedha hizo zielekezwe kwenye kununua ama kukodi meli za kuzalisha umeme wa gesi kiasi cha takriban Megawatt 300-400.
Umemaliza kula kiporo Cha makande, unakuja JF kupumua (ku-pass wind)
 
'Nimekamilisha ziara ya kuzunguka nchi nzima'.
Picha niliyoiona ni ya uhaba mkubwa wa maji tiririka katika water bodies kama vile mito.
Hili litaathiri kwa kiasi kikubwa kujaa kwa mabwawa ya kuzalisha umeme, kitu kitakachopelekea nchi kuingia kwenye giza kuu.
Nishati ya umeme ni nishati muhimu sana, pengine mtakumbuka jinsi uhaba wa nishati hii ulivyomng'oa Mh Lowasa kwenye uwaziri mkuu mwaka 2007.
Wito wangu kwa serikali ni kuanza kujipanga sasa maana kufikia mwezi wa nane mwaka huu, hali inaweza kuanza kuwa mbayaa!
Naishauri serikali kukata bajeti ya wizara ya nishati iliyokuwa imeelekezwa kujenga bwawa la umeme kwa 70% katika mwaka ujao wa fedha na kuelekeza fedha hizi kwenye kufua umeme wa dharura.
Napendekeza fedha hizo zielekezwe kwenye kununua ama kukodi meli za kuzalisha umeme wa gesi kiasi cha takriban Megawatt 300-400.
Walewale akina Makamba.
 
'Nimekamilisha ziara ya kuzunguka nchi nzima'.
Picha niliyoiona ni ya uhaba mkubwa wa maji tiririka katika water bodies kama vile mito.
Hili litaathiri kwa kiasi kikubwa kujaa kwa mabwawa ya kuzalisha umeme, kitu kitakachopelekea nchi kuingia kwenye giza kuu.
Nishati ya umeme ni nishati muhimu sana, pengine mtakumbuka jinsi uhaba wa nishati hii ulivyomng'oa Mh Lowasa kwenye uwaziri mkuu mwaka 2007.
Wito wangu kwa serikali ni kuanza kujipanga sasa maana kufikia mwezi wa nane mwaka huu, hali inaweza kuanza kuwa mbayaa!
Naishauri serikali kukata bajeti ya wizara ya nishati iliyokuwa imeelekezwa kujenga bwawa la umeme kwa 70% katika mwaka ujao wa fedha na kuelekeza fedha hizi kwenye kufua umeme wa dharura.
Napendekeza fedha hizo zielekezwe kwenye kununua ama kukodi meli za kuzalisha umeme wa gesi kiasi cha takriban Megawatt 300-400.
Sio tuu mgao bali mvua hakuna mwaka huu kiasi kwamba hata njaa itakua kubwa mwaka ujao..

Mazao yanakaukia mashambani.

Tuanze kuvuna maji ya mvua tuyatumie kwenye kilimo vinginevyo kuna kulia na kusaga meno one day.

Ni sahihi pendekezo lako,Bora wa boost umeme wa Gas kuliko kukomaa na Bwawa ambalo hata Maji hakuna.
 
'Nimekamilisha ziara ya kuzunguka nchi nzima'.
Picha niliyoiona ni ya uhaba mkubwa wa maji tiririka katika water bodies kama vile mito.
Hili litaathiri kwa kiasi kikubwa kujaa kwa mabwawa ya kuzalisha umeme, kitu kitakachopelekea nchi kuingia kwenye giza kuu.
Nishati ya umeme ni nishati muhimu sana, pengine mtakumbuka jinsi uhaba wa nishati hii ulivyomng'oa Mh Lowasa kwenye uwaziri mkuu mwaka 2007.
Wito wangu kwa serikali ni kuanza kujipanga sasa maana kufikia mwezi wa nane mwaka huu, hali inaweza kuanza kuwa mbayaa!
Naishauri serikali kukata bajeti ya wizara ya nishati iliyokuwa imeelekezwa kujenga bwawa la umeme kwa 70% katika mwaka ujao wa fedha na kuelekeza fedha hizi kwenye kufua umeme wa dharura.
Napendekeza fedha hizo zielekezwe kwenye kununua ama kukodi meli za kuzalisha umeme wa gesi kiasi cha takriban Megawatt 300-400.
Ni wazo zuri ila una generalization ndani yake. Kuna mikoa mvua wameichoka. Kuhusu bwawa la Mwl Nyerere najua kundi la mafisadi hawapendi likamilike, wanafanya kila wawezalo ishindikane. Ila nakuhakikishia kwa 100% hata waliomuua yule rais kule africa Magharibi wamehukumiwa vifungo vya maisha. Aandaeni makazi yenu vizuri kiama chaja
 
Naona umetumwa kusafisha njia na kuwaanda kisaikolojia watanganyika.

#MaendeleoHayanaChama
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom