Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Kutokana na uchakavu wa mitambo bla bla bla... mgao wa umeme kuanza nchini kote kuanzia saa 12 jioni hadi saa nne (+or -) .. bla bla bla..
Habari ndiyo hiyo.. miradi ya Jenereta iko juu! Hatimaye salimu amri mnunue majenereta ya Dowans kwa Bilioni 69 ambayo mmeshawalipa bilioni karibu 40 kuyasafirisha!
Habari ndiyo hiyo.. miradi ya Jenereta iko juu! Hatimaye salimu amri mnunue majenereta ya Dowans kwa Bilioni 69 ambayo mmeshawalipa bilioni karibu 40 kuyasafirisha!