mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Mganga huyo anashikiliwa kwa mauaji ya mwanafunzi Fausta wa shule ya msingi. Alimuita akiwa na wanafunzi wenzake na alippfika alimvuta hadi kwake na baadae Alimnyonga hadi kufa na kukata mkono wa kushoto, Sikio la kushoto na kumchuna ngozi na baada ya hapo alichimba kaburi uvunguni mwa kitanda chake na kumzika.Alipohojiwa alikiri kufanya tukio hilo kwa sababu ya umaskini ili atengenezee dawa za bahati za kuleta utajiri. Source COSMAS MAKONGO ITV.