Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohammed Kambi: Matumizi ya Mitandao nchini yanaweza kuwasababishia vijana magonjwa ya akili siku zijazo

Hii mbinu inaanza ya kuwaita malaika kutoka mbinguni waje wazime mitandao kma jiwe alivyosema anataman iwe hvyo
 
(Vijana wa CCM Someni Mwelewe Mnachoambiwa)
Mganga Mkuu wa Serikali Dk. Mohammed Kambi amesema matumizi ya mitandao nchini yanaweza kuwasababishia vijana magonjwa ya akili siku zijazo, amesema hii ni kutokana na kukithiri kwa ukatili na unyanyasaji kwenye mitandao unaotishia afya ya akili na ustawi wa vijana
Huyu Ni Dr feki,au alifoji vyeti,US walioanza miaka mingi kutumia mitandao wana wagonjwa wangapi wa akili waliotokana na mitandao?
Huyu katumwa.
 
Hahaa kwahiyo USA nzima imejaa vichaa ... ana uzungumziaje uwezo wa kibiashara toka kwa mr twitter bwana donald Trump ". mpaka kufikia hatua ya kuwa raisi .. Au yule nae ni chizi !!?
 
Vizuri angetoa somo au kubatanisha na links za waliyoandika juu ya haya kusaidia zaidi na kuelimisha..

Nchini hapa wengi maneno mengi ila kufunza ni sijui hawajui au inakuwaje..

Atoe elimu.. aanze kusambaza na kuhimiza.. utasambaaa kama udaku unavyosambaa kwa watanzania.. akilazimisha na mapaparazi wayaandike..

Karne hii na baadae matumizi ya mitandao yatazidi.. hili halina wa kuzuia
 
'NI KUTOKANA NA KUKITHIRI KWA UKATILI NA UNYANYASAJI......
Mbona comments nyingi ziko tofauti na alichosema Dr?

Ni uelewa mdogo au ni kusoma comment na mtu anaandika anavyojisikia tu
 
So wafunge social media kwa justification ya huyo daktari, Tz noma
 
Maelezo ya Dr yako sahihi, japo si mitandao tu, bali namna ya matumizi na muda. Nini kinafanyika kuikabili hali hiyo? Vijana wanakesha NA kushinda mitandaoni kwa kukosa kazi za kufanya. Serikali isijiweke kando NA hili.
 
Maelezo ya Dr yako sahihi, japo si mitandao tu, bali namna ya matumizi na muda. Nini kinafanyika kuikabili hali hiyo? Vijana wanakesha NA kushinda mitandaoni kwa kukosa kazi za kufanya. Serikali isijiweke kando NA hili.
Pesa wanapata wapi za mitandaoni, jiongeze kidogo kijana mdogo walahi
 
Pesa wanapata wapi za mitandaoni, jiongeze kidogo kijana mdogo walahi
Mimi sio kijana, nakimbilia 60. Vijana hawana ajira, serikali inawataka wajiajiri wafanye BIASHARA wakati mitaji ni issue, na njia ya kufikia mwisho ni ndefu. Mitandaoni wajiliwaza, japo jambo lolote ikizidi ni hatari.
 
Back
Top Bottom