Umemaliza kila kitu dada'ngu.Mganga ameumbwa na Mungu kwanini usiamuamini Mungu aliyekuumba?
Hivi bado karne hii unaenda kwa mganga na una muamini, utapigwa bure hiyo hela bora ungewapa wazazi yakoKatika jitihada zangu za kwenda kujilinda na wale wanaotumia madawa ya kututeka sisi wanaume,nimekutana na dhahama nyingine ya hiyo nyota ya nzige.
Nimeambiwa nitoe laki nne ili nifanyiwe tambiko,hapa kichwa nakiona kinakolea moto