Ras mtimanyongo kaukubali mziki hahahHatimaye zoezi la kuwapanga vizuri wamachinga katika maeneo ya stendi ya Daladala Makumbusho na Tegeta kwa ndevu leo limekamilishwa na hakuna machinga aliyesalia.
Msanii Ras Mtimanyongo amesema leo ndio ameamini kuwa serikali ina mkono mrefu kwani walijaribu kutikisa kiniriti lakini wamechemka hivyo yeye na wenzake wanahamia rasmi Bunju sokoni.
Maendeleo hayana vyama
Kakubali yaishe bwashee!Ras mtimanyongo kaukubali mziki hahah
Ova
Lazima uwe mpole bwashehKakubali yaishe bwashee!
hahahahahhahaTegeta mgambo wanarukaruka na kukanyagana wrote Ccm email oyeeee